unaakili za ovyo sana,mwambie mkumbo aule uprofesa wake kama ni chakula, elimu ya bongo ni white collar job,bora bodabodaBoniface Jocob Aliyekua diwa diwani kata ya Ubungo na Meya wa Manispaa ya ubungo amejiingiza kwenye kazi ya bodabada baada ya kustaafu kazi yake. Kwa sasa ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA anakutana na Profesa Kitila Mkumbo wa CCM pamoja na Saed Kubenea wa ACT.
Lakini mchuano mkali inategemewa kua kati ya Profesa wa CCM na Bodaboda wa CHADEMA, Nani zaidi?