Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hizi sasa ni zaidi ya futuhi
Haya ndiyo majembe ya CCM mpya
Huyo nasikia anagombea kwenye jimbo la KibajajiBado nabii Tito wakamilishe usajiri..
Nabii Tito kesho anatia nia kugombea Kinondoni.
Noma mno !Hizi sasa ni zaidi ya futuhi
asubiri kutandikwa gongo la kichwa .Nabii tito kachukua pia analitaka jimbo la kongwa japo mimi naona Jamaa anaakili kuzidi yule mbwa
Dhihaka hizi ni matokeo ya jinsi Bunge la 11 lilivyoendeshwa chini ya kiwango kiasi kutoa picha kuwa haihitaji weledi tena kuwa Mbunge wa CCM. Tulishudia Bunge muhimu la bajeti likigeuzwa uwanja wa mipasho,wenye hoja za msingi wakizomewa na hadi kutolewa nje ya Bunge bali wenye mipasho,matusi na kejeli kwa wapinzani wakipewa airtime ya kutosha huku wakishangiliwa. Picha iliyochorwa ni kuwa kuwa Mbunge wa CCM ni kazi nyepesi sana ujue kutukana wapinzani, kusifia watawala, kugonga meza, kuzomea na mwisho kusema ndiyooooooo,nani atashindwa?
.Bado nabii Tito wakamilishe usajiri..
Watu wengi wameshtuka na kutambua kuwa Gwajima ni tapeli anayetumia neno la Mungu kutimiza uovu wake. Sasa ameamua kutafuta chanzo mbadala cha mapato.Nae sadaka hazimtoshi kama Gwajima, anataka posho za ubunge
Kule anaamua jiwe na jiwekesha mpitisha dr medard kalemaniChato huko Vp mbona watu kimya sisiki mtu akitia Nia huko
Ova
Watu wengi wameshtuka na kutambua kuwa Gwajima ni tapeli anayetumia neno la Mungu kutimiza uovu wake. Sasa ameamua kutafuta chanzo mbadala cha mapato.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana safiria nyota ya MaguHaya ndiyo majembe ya CCM mpya