Akipata ni kutwa kutukana watuWatu kama hawa na wale wanaopiga magoti hawapaswi kabisa kupewa uongozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana siasa wanafiki wengi wao wapo CCM
Hata baada ya uchaguzi waendelee hivi hivi ndo tutawaelewa.
Halafu huyu naye ana mke na watoto kweli?
Ni baba mpumbavu pekee kama stone anayeweza kusifiwa kwa kumnunulia mkewe Iphone X lakini aliacha mwanae akafa kwa kukosa laki moja ya matibabu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 8[1](a) inasema "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa (wananchi) WATU sio ustawi wa VITU. Asomaye na afahamu.!Kawaida tu lakini
Has kwa Mwanadamu anapohitaji kitu. Sio kwa hao Wabunge tu!
Hata wewe jiulize mara ngapi kuna mambo ya ajabu na ya aibu umefanya ili kutimiza malengo yako??
So ni kawaida tu!!
Kweli kabisa mkuu,huu ni unafiki wa kiwango cha sgrWatu kama hawa na wale wanaopiga magoti hawapaswi kabisa kupewa uongozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fukuzia mbaliUkimuona kiumbe amevaa nguo za rangi hiyo mkemee.Ni pepo mchafu.Muangalie huyo mwenye kipara anavyopiga jicho la wizi.Ni vibaka hao.