ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Tumechoshwa na hadidu rejea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ubungo kinanadiwa na CCM kana kwamba Ubungo haina wenyewe,Alikuja Lamwai(NCCR kwa malumbano m,azito maendeleo hayakuonekana),Kafuata Keenja(vipindi viwili bila lolote) sasa tunaandaliwa kumpokea Mwangunga(Ambaye wizara ya mali asili imemshinda tunaletewa atusaidie nini??!!Sasa sisi wananchi wa Ubungo tunashindwa kuelewa kupewa ubunge wa Ubungo ni zawadi tuu au ni ushindani?