Mahali kwa kuwaangalia CCM ni hizo kata za vijijini. Itakuwa ngumu sana CCM kushinda Tarime mjini, ila huko vijijini kwa wakulima ndiko wanakochota kura zao.
Mimi naamini CHADEMA wameshinda udiwani, kwenye ubunge huko ndiko kutakuwa na mapambano.
Mimi naamini CHADEMA wameshinda udiwani, kwenye ubunge huko ndiko kutakuwa na mapambano.