HEBU NIAMBIENI WAKINA GREAT THINKERS Plato, Socrates, Aristotle, Rousseau, Voltaire, Kant, Foucault, Locke, ...
HIVI INAINGIAJE AKILINI MTU ALIYEKAMATWA NA MASANDUKU YA KURA ATANGAZWE MKSHINDI???????? AU TAARIFA ZILE ZILIPIKWAAAAAAAA????????
my dear umepotea kabsaaaaa, sheria na haki ni vitu viwili tofauti kabisa! kushinda kwake hakuhusiani na tabia yake, ni kura za wananchi. thanks
are you sure ni kura za wananchi??????? alizokamatwa nazo jeeee??? wamanchi
walizipigia wapi????????
Mahakama si ccm,itatenda haki.najua jaji augustino ramadhani ni makini sana
Mahakama si ccm,itatenda haki.najua jaji augustino ramadhani ni makini sana
Sio kura za wananchi ni KURA ALIZOIBIA WANANCHI