Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Tume itende hakiHizi ndio pingamizi za maana sasa
Na nikweli huyu tajiri wa madini bwana Mwanyika alilipa 1.5b cash mwaka huhuu kwa kukiri kufanya hayo makosa
Tume itende hakiHizi ndio pingamizi za maana sasa
Na nikweli huyu tajiri wa madini bwana Mwanyika alilipa 1.5b cash mwaka huhuu kwa kukiri kufanya hayo makosa
Alipitishwa na mtu mmoja tu ambaye alishakiri kuwa hashauriki
fafanua,haaa haaaBaada ya Lowassa kusema aachiwe tume
👏👏👏👏👏👏👏Huyu asipoenguliwa basi wagombea wote wa upinzani warejeshwe ngoma iwe droo
Usimuonee Paschal, yeye alisoma Sheria Ila sio Mwanasheria!Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Bado hata akiwa mbunge anapelekwa mahakamani.Watasema Masonga kakosea namna ya kuweka pingamizi
Bisi zitaisha mapema sana labda miwa mkuu ....Game linakolea.
Bisi na soda zinahusika.
Wale wa povu tunawaachia nguo wafue
Ha haaaa, wapi bwasheeee!! Naona mambo yamechangamka sana uchaguzi huu, mambo yamekuwa ... mwizi kamata polisiHahahaaaa...... Kumchinja Kobe kunataka timing Prof Lipumba karudia njiani!
Watafunika kombe hakuna mwenye ubavu wa kumuenguaKwa hiyo Magu ndo basi tena
Hivi jamaa alitenda kosa Hilo lini..asije akawa alifanya makosa hayo zaidi ya miaka mitano iliyopita.Haya ndiyo mapingamizi ya maana siyo mapingamizi ya kitoto kama kutokuweka picha au kuandika jina kwa herufi ndogo
Amehukumiwa 2019, kanuni hazizungumzii kutenda makosa bali kutiwa hatiani.Hivi jamaa alitenda kosa Hilo lini..asije akawa alifanya makosa hayo zaidi ya miaka mitano iliyopita.
Yani kama wewe ni wakili basi hujawahi kupata mteja hata mmoja, mtu alihukumiwa na mahakama na akapigwa faini au kwenda jela wewe unasema hakuna hukumu iliyotolewa? Ila umejiita AdvoHilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi. Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.
By Adv....
Okay..sijui Sheria inasemaje but nashangaa why aliteuliwa na kwenye fomu inadaiwa kakiri mwenyewe...labda kuna loophole mahali..let's wait and see.Amehukumiwa 2019, kanuni hazizungumzii kutenda makosa bali kutiwa hatiani.
Yeye katiwa hatiani 2019
Hahaha.. Labda ni sehemu ya master plan ya kumuondoa jiwe.Mchimba kaburi kaingia mwenyewe huku magu kakosea kujaza fomu huku jamaa kakwepa kodi ila paramagamba kabudi ulichomfanyia magufuli kukosea kujaza fomu Mungu anakuona