Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 989
Anza kusoma kuanzia thread ya 309 utajua why nimeandika hicho ulichosoma.Kwa hiyo unataka uwaaminishe wajinga kuwa Zitto ndio sababu ya maendeleo duni Kigoma? Hebu tuwekee na barabara za wilaya za mikoa ya Rukwa, Kilimanjaro, Arusha, Kagera, Tabora na Dodoma.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app