Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Inasemekana harakati za kulitwaa jimbo la Arusha mjini zimeanza na sasa kikwazo si mbunge mtetezi mh Lema, bali ni wana CCM wenyewe.
Inasemekana diwani mmoja kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CCM hapo A town anatarajiwa kugombea lakini baadhi ya viongozi wa chama mkoa wameanza kumfanyia figisu na usumbufu wa hapa na pale.
Inasemekana kuna kigogo anayelinyemelea jimbo hilo na angependa apite bila kupingwa ili avaane na Lema lakini wana CCM wa Arusha wameapa hilo halitawezekana na demokrasia lazima ifuate mkondo wake.
Ahsante!
Inasemekana diwani mmoja kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CCM hapo A town anatarajiwa kugombea lakini baadhi ya viongozi wa chama mkoa wameanza kumfanyia figisu na usumbufu wa hapa na pale.
Inasemekana kuna kigogo anayelinyemelea jimbo hilo na angependa apite bila kupingwa ili avaane na Lema lakini wana CCM wa Arusha wameapa hilo halitawezekana na demokrasia lazima ifuate mkondo wake.
Ahsante!