cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Hajakosea siwewe ndiyo kasuku wa Bashite juzi kaleta habari zabomoabomoa? Usimkane boss wako hata kama hana cheti mungu anakuona!!
Sasa wewe kasuku uliyemwandika simfahamu.
Hajakosea siwewe ndiyo kasuku wa Bashite juzi kaleta habari zabomoabomoa? Usimkane boss wako hata kama hana cheti mungu anakuona!!
Ok..niwewe yesterday was used by bwana Bashite kingine??Sasa wewe kasuku uliyemwandika simfahamu.
Tulia wewe mammalia kijakazi cha bashiteNafikiri umekosea ID.
Duh kwan jamaa wamekufanyien nn mpk muwe na hasira nao hivyo?pale dsm pamoja na kadhia wanazopewa ikiwemo bomoa bomoa na bd kura wanawapa tu,kule kagera wametukanwa na kura watatoa,aisee chuga salute!!Labda Arusha nyingine, sie hata tukiwekewa jiwe tutalichagua kuliko Ccm , watasubiri sana
Marahaba...Hujambo?Ewaaaa.
Shikamoo dada