Ni vizuri viongozi wa vyama na serikali wakajikita kuona ni namna gani watawaletea wananchi maendeleo, kwa kuwa mh. raisi ameshatoa msimamo wake kwamba sasa ni muda wa kufanya kazi tu.Inasemekana harakati za kulitwaa jimbo la Arusha mjini zimeanza na sasa kikwazo si mbunge mtetezi mh Lema, bali ni wanaccm wenyewe.
Inasemekana diwani mmoja kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CCM hapo A town anatarajiwa kugombea lakini baadhi ya viongozi wa chama mkoa wameanza kumfanyia figisu na usumbufu wa hapa na pale.
Inasemekana kuna kigogo anayelinyemelea jimbo hilo na angependa apite bila kupingwa ili avaane na Lema lakini wanaccm wa Arusha wameapa hilo halitawezekana na demokrasia lazima ifuate mkondo wake.
Ahsante!
yani kama hata kama hujui kwamba wewe ndo umepanic basi kuna hatua nyingi kidogo za kukuweka sawa.Ndio tena magufoolish!!
Wewe upo sawa?
Nenda katibiwe lumumba kwa polipoli...
Au umepanic?
Kawekezeni Dodoma na SongeaFormula ya kujumlisha kura za rais Kenya si umeiona?
Hili jimbo lina mwenyewe. Msijisumbue mkaja poteza pesa zenu bureWewe wasema!
sawayani kama hata kama hujui kwamba wewe ndo umepanic basi kuna hatua nyingi kidogo za kukuweka sawa.
yule aliyekutwa na id za usalama naona jana kawa huru, hii nchi bana, wakati akina lijuakali chezea mvua na kuhamishwa gereza juu, daahInasemekana harakati za kulitwaa jimbo la Arusha mjini zimeanza na sasa kikwazo si mbunge mtetezi mh Lema, bali ni wanaccm wenyewe.
Inasemekana diwani mmoja kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CCM hapo A town anatarajiwa kugombea lakini baadhi ya viongozi wa chama mkoa wameanza kumfanyia figisu na usumbufu wa hapa na pale.
Inasemekana kuna kigogo anayelinyemelea jimbo hilo na angependa apite bila kupingwa ili avaane na Lema lakini wanaccm wa Arusha wameapa hilo halitawezekana na demokrasia lazima ifuate mkondo wake.
Ahsante!
Ww na stroke,ikitokea ccm ikadondoka na hisi na ninyi mwaweza dondoka kimaisha pia!Hayo ya bila kupingwa sio ya awamu hii. Na huu umekaa kama udaku
Inasemekana harakati za kulitwaa jimbo la Arusha mjini zimeanza na sasa kikwazo si mbunge mtetezi mh Lema, bali ni wanaccm wenyewe.
Inasemekana diwani mmoja kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CCM hapo A town anatarajiwa kugombea lakini baadhi ya viongozi wa chama mkoa wameanza kumfanyia figisu na usumbufu wa hapa na pale.
Inasemekana kuna kigogo anayelinyemelea jimbo hilo na angependa apite bila kupingwa ili avaane na Lema lakini wanaccm wa Arusha wameapa hilo halitawezekana na demokrasia lazima ifuate mkondo wake.
Ahsante!