UBUBU BUNGENI: Msekwa awavaa wabunge

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
SPIKA wa Bunge Mstaafu ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Pius Msekwa, kwa sasa anaamini kuwa Serikali haiwabani wabunge kuhoji jambo lolote bungeni, bali kutokana na woga na hofu isiyo ya lazima wanajipoka fursa ya kuwa huru. Mwandishi Wetu, amefanya naye mahojiano maalumu kama ifuatavyo...
 
Jamani Hili Swala La Msekwa Kulalamikia Ububu Wa Wabunge Bungeni Ni Swala La Unafiki Wa Kisiasa. Kwa Nini Nasema Hivi? Rekodi Zinaonyesha Mkewe Wa Ndoa(bi Anna Abdalah) Toka Aingie Bungeni Elfu 2005 Mpaka Leo Hii Hajawahi Kuchangia Chochote Bungeni Au Hata Kutamka Neno Lolote. Huu Ni Mwaka 2007. Je Ina Maana Wakiwa Chumbani Hawaulizani Kwa Nini Mke Wangu Huongei? Maana Wazungu Wanasema Charity Should Start At Home Na Wengine Wanasema Ukiwa Na Nyumba Ya Vyoo Usiwe Wa Kwanza Kutupa Mawe Kwa Majirani.kwa Hiyo Wanafiki Walio Katika Chama Tawala Muwavumilie. Sijui Kada Kwenye Hili Naye Atasema Nini. Atatetea?
 
Jamani Hili Swala La Msekwa Kulalamikia Ububu Wa Wabunge Bungeni Ni Swala La Unafiki Wa Kisiasa. Kwa Nini Nasema Hivi? Rekodi Zinaonyesha Mkewe Wa Ndoa(bi Anna Abdalah) Toka Aingie Bungeni Elfu 2005 Mpaka Leo Hii Hajawahi Kuchangia Chochote Bungeni Au Hata Kutamka Neno Lolote. Huu Ni Mwaka 2007. Je Ina Maana Wakiwa Chumbani Hawaulizani Kwa Nini Mke Wangu Huongei? Maana Wazungu Wanasema Charity Should Start At Home Na Wengine Wanasema Ukiwa Na Nyumba Ya Vyoo Usiwe Wa Kwanza Kutupa Mawe Kwa Majirani.kwa Hiyo Wanafiki Walio Katika Chama Tawala Muwavumilie. Sijui Kada Kwenye Hili Naye Atasema Nini. Atatetea?

Hata mimi naona Msekwa ni mnafiki tu na hana jipya. Haya wazee
wanapitwa na wakati, tunataka mabadiliko ya nguvu TZ na sio ubabaishaji wao wa kufuata upepo. Alivyokuwa spika alikuwa anafanya tofauti, sasa anajifanya anajua demokrasi ya wabunge?
 
Hata mimi naona Msekwa ni mnafiki tu na hana jipya. Haya wazee
wanapitwa na wakati, tunataka mabadiliko ya nguvu TZ na sio ubabaishaji wao wa kufuata upepo. Alivyokuwa spika alikuwa anafanya tofauti, sasa anajifanya anajua demokrasi ya wabunge?


Mkuu Mtanzania,

Haya ndio ninayoyasema kila wakati hapa forum, yaani ya kina Butiku, kelele nyingi lakini never talk about the real ishus I mean ukiangalia kwa wasi wasi hii headline makes a lot of sense, lakini ukiiachambua kwa karibu Msekwa hakusema kitu chochote cha maana, au kipya,

Yeye ni kiongozi mpya wa juu wa CCM, the ishu sasa hivi ni mafisadi, madini, na umeme, kwa nini asiseme kwenye haya ya muhimu, badala yake anakimbilia kusema hewa tupu? Mke wake anaendelea kuwa mbunge kutokana na kuwa kabila moja na Mkapa, ambaye dakika za mwisho alibaini kuwa huyo mama hawezi kushinda ubunge tena, kwa hiyo akaamua kuwa mwenyekiti wa UWT, aingie bungeni bure, sasa unetegemea aende bungeni aseme nini?

Kweli Msekwa nayajua ya haki za wabunge, sasa tatizo lake na Freeman lilikuwa ni nini?
 
Jamani Hili Swala La Msekwa Kulalamikia Ububu Wa Wabunge Bungeni Ni Swala La Unafiki Wa Kisiasa. Kwa Nini Nasema Hivi? Rekodi Zinaonyesha Mkewe Wa Ndoa(bi Anna Abdalah) Toka Aingie Bungeni Elfu 2005 Mpaka Leo Hii Hajawahi Kuchangia Chochote Bungeni Au Hata Kutamka Neno Lolote. Huu Ni Mwaka 2007. Je Ina Maana Wakiwa Chumbani Hawaulizani Kwa Nini Mke Wangu Huongei? Maana Wazungu Wanasema Charity Should Start At Home Na Wengine Wanasema Ukiwa Na Nyumba Ya Vyoo Usiwe Wa Kwanza Kutupa Mawe Kwa Majirani.kwa Hiyo Wanafiki Walio Katika Chama Tawala Muwavumilie. Sijui Kada Kwenye Hili Naye Atasema Nini. Atatetea?

ha haha ha kwanza nimecheka wee as mbunge kwa kipindi chote hachangia hata kutoa wazo hata kuuliza swali???mwee kweli Tz ni kibooooko
abt huyu msekwa kweli ni mnafiki kwanza kwanini asimuambie mkewe afungue mdomo bungeni?
pili he was the speaker kipindi kilichopita if not kwa miaka kibweeena did he make sure ayasemayo yalikua yakifanyika??
tatu as a new kiongozi wa ccm basi tuone mabadiliko kwa wabunge wake wa ccm from now onwards...else he will still remain to be a mnafiki wa kisiasa
 
Huyu anaongea na both sides of his mouth, wakati anadai kwamba wabunge wa CCM hawahoji serikali kuhusu mambo mbali mbali wakati huo huo anasema kwamba ni lazima wabunge wa CCM waiunge mkono serikali! na pia ni lazima waipitishe bajeti! amejikanyaga kweli kweli! Ndio maana bunge letu ni bomu maana wanahudhuria vikao ili kuchapa usingizi, kupokea allowances zao na kusaka CDs kisha kuimba CCM nambari one! wakati wageni wanaendelea kupora rasilimali zetu!
 
wabunge wa ccm wataihoji vipi serikali wakati hao hao ni mawaziri au makatibu wakuu wa wizara?

this is a bunch of crap from an old guy who should have been retired since yesterday
 
Ama kweli huu mwaka ibilisi. Huyu kama sikosei si ndio yule alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya vodacom wakati bado akiwa na cheo cha uspika. Baadhi ya wananchi na wabunge walipohoji kuteuliwa kwake na mgangano wa kimaslahi akajibu eti hao wanahoji wana wivu wa kike. Leo anazungumza nini huyu.
 
Msekwa toka ashindwe kuwa spika tena amekuwa akisema maneno ambayo yanaonyesha wazi kabisa kwamba bado ana ka-hasira. Issue kwamba serikali hawaibani wabunge kuzikabili hoja mbalimbali naona ni upuuzi tu. Yeye toka ameondoka pale...sijaona mabadiliko mengi kwenye hili bunge, na yeye amekaa miak kibao....je aliikemea serikali hii hoja? Msekwa na sasa hivi ni kiongozi wa juu wa CCM, so kwa nafasi hiyo tayari inamuweka kuw sana kwenye siasa, na si masuala ya kiserikali sana. Akichanganya vitu viwili hivi kwa ukaribu basi ataharibu sifa ya Rais ya kumpendekeza kuwa msaidizi wake. Yeye alikuwa Mbunge wa Ukurewe mpaka sasa, lakini naye anataka kusema aliwekewa mikwala na CCM asithibiti hoja? Msekwa angalia sana....tofautisha propanganda za kisiasa, na serikali yenyewe kwenye statements zako. Yeye alshiriki katika kuandika katiba, na kila ikifanywa any amendments kwenye katiba ni lazima awepo. Mbona ahajawahi kuishikilia issue kwamba mawaziri basi wasiwe wabunge!! hata hilo limemshinda ambalo linaoonekana kuwa ndio tatizo kubwa hapa.
 
Msekwa ni mzee wa busara sana lakini nadhani kuwa ni mnafiki pia. Wakati tonge liko mdomoni mwake huwa hasemi ila likiwa mdomoni mwa mtu mwingine ndipo hukurupuka na humwaga busara zake. Aliwahi kudai watu wanamweonea wivu wa kike walimpohoji kuhusu conflict of interest akiwa spika, baada ya kunyanganywa spika akaja na stori nyingine.
 
Back
Top Bottom