William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Mbowe alisema wamepanga kumpa kesi isiyodhaminika mapema kabisa. Yani mchongo aliujua.
Na msimamo wake NI kuwa wakifikishwa mahakamani hataongea chochote wakitaka wamfunge. Sasa sijui wanasheria wanasumbuka Nini.
Wanachokifanya mahakamani NI kuhalalisha kushikiliwa mahabusu mwezi wa nne mfululizo bila dhamana na kwa maana nyingine amefungwa tayari sababu kesi hii haiishi leo Wala kesho na akiwa na roho ngumu asipopigia jamuhuri magoti atasota Rumande zaidi ya mwaka mzima.
Kwanini hakusimamia msimamo wa awali wa kutojitetea na kupokea watakaloamua kwasababu.
1. Tayari kaisibitishia Dunia kila alichokisema awali kuwa walipanga kumpa kesi isiyodhaminika ili ashindwe kufanya siasa
2. Kama kunauwezekano ashinikize kisiasa kesi yake isikilizwe na majaji huru na si Hawa au kesi za Ugaidi iende mahakama za kimataifa.
3 . Kwa huu mchezo wa mahakamani ata alishinda kesi Leo atakuwa amesota vya kutosha. Na atakuwa ameshatumikia kifungo Cha kisanii jela.
Na msimamo wake NI kuwa wakifikishwa mahakamani hataongea chochote wakitaka wamfunge. Sasa sijui wanasheria wanasumbuka Nini.
Wanachokifanya mahakamani NI kuhalalisha kushikiliwa mahabusu mwezi wa nne mfululizo bila dhamana na kwa maana nyingine amefungwa tayari sababu kesi hii haiishi leo Wala kesho na akiwa na roho ngumu asipopigia jamuhuri magoti atasota Rumande zaidi ya mwaka mzima.
Kwanini hakusimamia msimamo wa awali wa kutojitetea na kupokea watakaloamua kwasababu.
1. Tayari kaisibitishia Dunia kila alichokisema awali kuwa walipanga kumpa kesi isiyodhaminika ili ashindwe kufanya siasa
2. Kama kunauwezekano ashinikize kisiasa kesi yake isikilizwe na majaji huru na si Hawa au kesi za Ugaidi iende mahakama za kimataifa.
3 . Kwa huu mchezo wa mahakamani ata alishinda kesi Leo atakuwa amesota vya kutosha. Na atakuwa ameshatumikia kifungo Cha kisanii jela.