Ukitazama barabara ya Mombasa kwa mkolemba jimbo la ukonga utajiuliza yu wapi Jerry Slaa mbunge wa jimbo la Ukonga?. Upo wapi mheshimiwa mbunge au unasubiri 2025 tena uje na porojo hewa kwetu sisi wananchi tunaotaabika kwa ubovu wa barabara ya Mombasa, Moshi bar, Kwa Mkolemba, Kanyigo, Mwembeni hadi njia panda ya Msongola?.
Hivi ni kwa nini hauji utuambie bungeni mlikuwa mnajadili na kupitisha nini?.
Hivi ni kw nini hauji kutuambia 1.5 Bilioni ambazo mama amesikia kilio chetu zitatumika kutengeneza barabara/njia za mitaa ipi na IPI?.
Behold Jerry Silaa (MB) Ukonga Dar es Salaam.
Hivi ni kwa nini hauji utuambie bungeni mlikuwa mnajadili na kupitisha nini?.
Hivi ni kw nini hauji kutuambia 1.5 Bilioni ambazo mama amesikia kilio chetu zitatumika kutengeneza barabara/njia za mitaa ipi na IPI?.
Behold Jerry Silaa (MB) Ukonga Dar es Salaam.