nzoka ya pi
Senior Member
- May 16, 2017
- 153
- 107
Napenda kutoa malalamiko yangu juu ya ubovu wa barabara ya bandari kule TPA Kurasini. Tafadhali Mamlaka husika tunakerwa na ubovu wa barabara ile na hasa nyakati zingne inaonekana kuna watu wanafungulia chemba za maji taka kuelekezea barabarani kumekua na harufu kali na isiyovumilika. Tafadhali mamlaka husika mpitiapo uzi huu mkumbuke kufanya maboresho juu ya barabara ile. Ni kero na usumbufu si kwa watu tu bali piah ata vyombo vya usafiri.