johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,737
- 141,604
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi NEC amesema uboreshaji wa daftari la wapiga kura utaendelea tena 17/04/2020.
Mwenyekiti huyo amesema hadi sasa zaidi ya wapiga kura milioni 31 wameshaandikishwa kwenye daftari.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti huyo amesema hadi sasa zaidi ya wapiga kura milioni 31 wameshaandikishwa kwenye daftari.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!