Kumekuwa na mjadala ya kwamba walimu wanaomaliza ngazi ya stashahada ni mahiri zaidi kuliko wale wanaomaliza ngazi ya digrii, binafsi nimejaribu kujiuliza baadhi ya maswali tafakuri lakini hadi sasa sijapata ukweli juu ya jambo hili.
Maswali yenyewe ni kama ifuatavyo;
1. Ni hatua gani walimu wanaojiunga na mafunzo ya stashahada na shahada wanapitia?
2. Ni kitu gani kinafanyika zaidi ya ufundishaji wa madarasani kwa upande wa wanafunzi wa vyuo vikuu na wale wa vyuo vya ualimu?
3. Mchakato wa ufundishaji madarasni pamoja na tathmini unafanyikaje kwa upande wa ngazi zote za elimu?
Mitaala inayotumika kuandaa walimu hawa ni wapi inatofautiana na wapi inakut
Maswali yenyewe ni kama ifuatavyo;
1. Ni hatua gani walimu wanaojiunga na mafunzo ya stashahada na shahada wanapitia?
2. Ni kitu gani kinafanyika zaidi ya ufundishaji wa madarasani kwa upande wa wanafunzi wa vyuo vikuu na wale wa vyuo vya ualimu?
3. Mchakato wa ufundishaji madarasni pamoja na tathmini unafanyikaje kwa upande wa ngazi zote za elimu?
Mitaala inayotumika kuandaa walimu hawa ni wapi inatofautiana na wapi inakut