Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
habari wadau,
naomba kujuzwa juu ya ununuzi wa tairi zilizotumika,
ni vitu gan unatakiwa kuzingatia unapotaka kununua tairi used kama saizi 13, kwa gari ndogo,
aidha, nmeona used tairi linauzwa kwa 50,000 nkiliangalia km jipya, la mwaka 2002, ila nahofia tokana cjajua vigezo gan vya kuzingatia kabla kununua.
naomba maoni.
naomba kujuzwa juu ya ununuzi wa tairi zilizotumika,
ni vitu gan unatakiwa kuzingatia unapotaka kununua tairi used kama saizi 13, kwa gari ndogo,
aidha, nmeona used tairi linauzwa kwa 50,000 nkiliangalia km jipya, la mwaka 2002, ila nahofia tokana cjajua vigezo gan vya kuzingatia kabla kununua.
naomba maoni.