yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,551
- 3,513
Habari wakuu.
Baada ya kufatilia sana simu gani ninunue yenye ubora na inayoendana na kipato changu nimeona ni bora ninunue Note 3.
Hapa nimezingatia ukubwa wa betri (3000mAh), RAM, internal storage capacity, screen kubwa lakin pia ukubwa wa screen.
Wataalamu na wenye uzoefu na hizi simu naombeni ushauri au maoni yenu juu ya ubora wa hii simu kabla sijaenda kununua.
Pia naomba maelekezo namna ya kutambua ipi ni Original.
Lakini pia hii simu niipate duka lipi hapa Dar ambapo nitapata kwa bei nafuu kidogo.
cc: Chief-Mkwawa
Baada ya kufatilia sana simu gani ninunue yenye ubora na inayoendana na kipato changu nimeona ni bora ninunue Note 3.
Hapa nimezingatia ukubwa wa betri (3000mAh), RAM, internal storage capacity, screen kubwa lakin pia ukubwa wa screen.
Wataalamu na wenye uzoefu na hizi simu naombeni ushauri au maoni yenu juu ya ubora wa hii simu kabla sijaenda kununua.
Pia naomba maelekezo namna ya kutambua ipi ni Original.
Lakini pia hii simu niipate duka lipi hapa Dar ambapo nitapata kwa bei nafuu kidogo.
cc: Chief-Mkwawa