Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

zacha dondosha ya Q-chief ft Ngwea-naanzaje kukuacha- P-funk Majani production kama kawa.

Hii na iwe sindikizo kwa wadau wapenda mziki wenye high quality & creativity bongo
 
zacha dondosha ya Q-chief ft Ngwea-naanzaje kukuacha- P-funk Majani production kama kawa.

Hii na iwe sindikizo kwa wadau wapenda mziki wenye high quality & creativity bongo

Mkuu salaam,

Marco chali ndiye aliyetengenenza hiyo Ngoma.

Mamamia_qchillaVNgwea
 
Mkuu salaam,

Marco chali ndiye aliyetengenenza hiyo Ngoma.

Mamamia_qchillaVNgwea

Sio Mama Mia Mkuu- "naanzaje kukuacha na moyo ushapenda"

Ni R&B moja kali sana Mkuu na production yake ni ya kijanja sana,unaskia kila instruments kama una sound system ya ukweli.
 
Sio Mama Mia Mkuu- "naanzaje kukuacha na moyo ushapenda"

Ni R&B moja kali sana Mkuu na production yake ni ya kijanja sana,unaskia kila instruments kama una sound system ya ukweli.

sawa mkubwa, endelea kufwatilia ntaipandisha hapa!
 
Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!
Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
kuna ngoma moja ilihusisha wasanii wengi na ndani yake alikwemo jamaa anaitwa ZAHRAN na DUDUBAYA pia yumo inaitwa SEMA UNACHOSEMA yeyote mwenye nayo aitupie hapa
 
Akwelina ulioimbwa na ocg na nature Ni bonge la wimbo na bonge la biti lililotengenezwa na majani na profesa ludigo
 
View attachment 1190167
Paul Matthysse ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. P Funk a.k.a. Majani, ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati yupo bado shule IST (International School Of Tanganyika. Alikuwa mtundu mtundu kwenye studio za pale shule.. kupiga- piga midundo mbali mbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye Pati mbali mbali.. na hapo alikuwa kupenda sana musiki kwa ujumla.

Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!

Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
Nyimbo ni nzuri na waimabji wanajua sana lakini production siyo nzuri kabisa. Sauti haziko balanced, kitaalamu tunasema hazina harmony. Kuna sauti zina nguvu sana kuliko sauti nyingine unproportionately.
 
View attachment 1190167
Paul Matthysse ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. P Funk a.k.a. Majani, ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati yupo bado shule IST (International School Of Tanganyika. Alikuwa mtundu mtundu kwenye studio za pale shule.. kupiga- piga midundo mbali mbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye Pati mbali mbali.. na hapo alikuwa kupenda sana musiki kwa ujumla.

Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!

Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
Ahsante mzazi, nimeshapata playlist for this week "Oldiez"
 
Hauna hoja
yuko wapi sasa..?
wenzie wote wako kwa cabinet ya awamu ya 5
Unayumba mkuu.
Hata kama hayupo ktk cabinet ya awamu ya 5 haiondoi ukweli kwamba hiyo ngoma katengeneza yeye.

Yeye kaweka rekodi sawa, ya nani kafanya nini.
 
Mwenye lile song la mapacha feat ngwair na nuruel linaitwa nipe jibu atupie humu ni kali sana lile linanikumbusha enzi za down town records na d money.
 
Wadau mwenye goma la mapacha feat ngwair na nuruel linaitwa nipe jibu tupia humu ni miongoni mwa ngoma kali sana za hip-hop kuwahi kutokea
 

Similar Discussions

42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom