Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

kipumbwi

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
3,054
8,663
Pfunk.jpg



Paul Matthysse ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. P Funk a.k.a. Majani, ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati yupo bado shule IST (International School Of Tanganyika. Alikuwa mtundu mtundu kwenye studio za pale shule.. kupiga- piga midundo mbali mbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye Pati mbali mbali.. na hapo alikuwa kupenda sana musiki kwa ujumla.

Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!

Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
 

Attachments

  • Adili ft Mandojo Domo kaya - Peke Yangu.mp3
    5.2 MB · Views: 119
  • Madee yote Maisha.mp3
    3.9 MB · Views: 101
  • Afande_Sele_Mpenzi_Nipe_Mahitaji.mp3
    3.9 MB · Views: 89
  • B. Boy - Sina demu.mp3
    4.9 MB · Views: 95
  • Bongo_Records_Party_Ya_Kiutu_Uzima.mp3
    3.9 MB · Views: 109
  • Chid Benz Feat Mao Zorro - Mmenisoma.mp3
    5.4 MB · Views: 112
  • DARK MASTER - Beef na hela.mp3
    2.8 MB · Views: 96
  • Cheza kwa step-Jay mo Ngwea.mp3
    4.5 MB · Views: 88
  • CP - 6 In The Morning.mp3
    4.6 MB · Views: 101
  • Daz Baba - Wife.mp3
    4.8 MB · Views: 91
  • GEEZ MABOVU - MTOTO WA KIUME.mp3
    7.6 MB · Views: 105
  • GWM_feat_Nature_J_Mo_Kamua.mp3
    4.4 MB · Views: 102
  • Jay_Moe_feat_Solo_Thang_Chillah_Kama_Unataka_Demu.mp3
    5 MB · Views: 104
  • K South ft Juma Nature - 2nafanya Kazi.mp3
    3.7 MB · Views: 90
  • Matonya - Dunia Mapito.mp3
    3 MB · Views: 79
  • Juma Nature - Radhia.mp3
    3.4 MB · Views: 89
  • Jay Moe - Mvua Na Jua.mp3
    4.9 MB · Views: 95
  • Man_X_feat_Dully_Sykes_Nimechezea_Bahati.mp3
    3.9 MB · Views: 86
  • Screenshot_20190829-063246.png
    Screenshot_20190829-063246.png
    164 KB · Views: 35
orodha inaendelea
 

Attachments

  • 01 Kikao cha dharura.mp3
    6.5 MB · Views: 81
  • 01 Kikao cha dharura.mp3
    6.5 MB · Views: 62
  • 01 Ndio mzee.mp3
    8.2 MB · Views: 76
  • 01 Simu yangu.mp3
    8.1 MB · Views: 82
  • 04 Darubini.mp3
    7.3 MB · Views: 82
Hujaweka ngoma za Juma nature na Ngwair hapo... Mikasi, sitaki demu,ghetto
Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!
Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom