Makau Js
Member
- May 25, 2017
- 93
- 233
Ubora wa mwanafunzi upo kwenye ubongo wake na si kwenye vyeti vyake,Ajira ya graduate ipo kichwani kwake na sio serikali yake.
Mwanachuo aliyesomea cheti anaweza kununua smart phone yenye thamani ya Tsh 1,000,000/-na akawa anatembea na charge kwa ajili ya kuchajia simu yake,na anaweza kutoka Gongo la mboto mpaka mliman city kupiga picture za selfie na kuzipost Instagram na Facebook.
Mwanachuo aliysomea utashi na maarifa anaweza kununua smart phone ya Tsh 200,000/ na kutoka Gongo La Mboto mpaka posta kwenda kununua hisa za TBL,NMB,CRDB na company zingine kwa kiasi kilichobaki kwenye Tsh 1,000,000/-.
Tumia nguvu na akili nyingi kutafuta mianya ya pesa na kutengeneza kesho nzuri pia usisahau CCM na CHADEMA hawana sponsorship za kuwasaidia watu maskini wenye uwezo wa kusoma vyuo,wala hawawezi kukulipia medical insurance.
Usitumie muda wako na akili yako yote kujadili siasa na wanasiasa future nzuri inajengwa na utashi na jitihada za mtu binafsi,na sio wanasiasa au Bashite,tujenge utamaduni wa kununua hisa na kuacha kununua vitu visivyo na tija katika maisha yako.
Most of the problems in life are because of two reasons: we act without thinking or we keep thinking without acting.[HASHTAG]#UbongoWangu[/HASHTAG]
Mwanachuo aliyesomea cheti anaweza kununua smart phone yenye thamani ya Tsh 1,000,000/-na akawa anatembea na charge kwa ajili ya kuchajia simu yake,na anaweza kutoka Gongo la mboto mpaka mliman city kupiga picture za selfie na kuzipost Instagram na Facebook.
Mwanachuo aliysomea utashi na maarifa anaweza kununua smart phone ya Tsh 200,000/ na kutoka Gongo La Mboto mpaka posta kwenda kununua hisa za TBL,NMB,CRDB na company zingine kwa kiasi kilichobaki kwenye Tsh 1,000,000/-.
Tumia nguvu na akili nyingi kutafuta mianya ya pesa na kutengeneza kesho nzuri pia usisahau CCM na CHADEMA hawana sponsorship za kuwasaidia watu maskini wenye uwezo wa kusoma vyuo,wala hawawezi kukulipia medical insurance.
Usitumie muda wako na akili yako yote kujadili siasa na wanasiasa future nzuri inajengwa na utashi na jitihada za mtu binafsi,na sio wanasiasa au Bashite,tujenge utamaduni wa kununua hisa na kuacha kununua vitu visivyo na tija katika maisha yako.
Most of the problems in life are because of two reasons: we act without thinking or we keep thinking without acting.[HASHTAG]#UbongoWangu[/HASHTAG]