bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Wachezaji Wenye Majina Makubwa kipindi cha Karibuni wamekua wakitimkia ligi kuu ya Uchina kwa Usajili wa pesa Nyingi mnoo mfano,Ramires,Demba Ba,Paulinho,Hulk...nk na pia kukiwa na tetesi za Carlos Tevez naye kutimkia uko.
Kwa usajili huu wa wachezaji wenye Majina Makubwa kwa timu za Uchina je ndo Kukua kwa ligi na soka la China? Je ipo siku ligi/timu za uchina zitakua bora kama vile ligi ya Epl,Bundesliga,La liga,Serie A...nk? Au ndo ile wachezaji kufuata pesa na kumalizia keria zao za mpira uko mfano USA?
Kwa usajili huu wa wachezaji wenye Majina Makubwa kwa timu za Uchina je ndo Kukua kwa ligi na soka la China? Je ipo siku ligi/timu za uchina zitakua bora kama vile ligi ya Epl,Bundesliga,La liga,Serie A...nk? Au ndo ile wachezaji kufuata pesa na kumalizia keria zao za mpira uko mfano USA?