sisi wana saikolojia tunaamini kuwa kile kitu kilichojaa kwenye ubongo wako ndicho utakacho kiongea mara kwa mara
Biblia pia inasema yaujazayo moyo ndiyo yautokayo
wana ccm asilimia 90 ubongo wao umejawa na picha ya Lowassa kila baada ya dakika tano wanamfikiria mara 2-3 na wakilala picha wanayolala nayo kwenye ubongo ni ya lowassa
wakiamka usiku kujisaidia wanaamka na picha ya Lowassa
asilimia 75 ya ndoto za wana ccm wanamuota Lowassa.
Wale makada halisi wa ccm wangetamani Lowassa afe kwao wangefurahi sana.
Mfumo wa kiisakilojia wa wana ccm wengi umeingiliwa na kirusi cha kuwaza jambo moja mara nyingi psychological disorder
Biblia pia inasema yaujazayo moyo ndiyo yautokayo
wana ccm asilimia 90 ubongo wao umejawa na picha ya Lowassa kila baada ya dakika tano wanamfikiria mara 2-3 na wakilala picha wanayolala nayo kwenye ubongo ni ya lowassa
wakiamka usiku kujisaidia wanaamka na picha ya Lowassa
asilimia 75 ya ndoto za wana ccm wanamuota Lowassa.
Wale makada halisi wa ccm wangetamani Lowassa afe kwao wangefurahi sana.
Mfumo wa kiisakilojia wa wana ccm wengi umeingiliwa na kirusi cha kuwaza jambo moja mara nyingi psychological disorder