Mbuyimayi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 575
- 1,147
Naomba nitoe salamu zangu kwa wote wana jamvi
Na nikiri kutoka moyoni leo ndo siku yangu ya kwanza ku 'post' mada hapa japokuwa ni 'muhenga' kwa kupitia na kuchangia hapa na pale ktk 'nyuzi' za wana jamii wengine
Tukirudi katika mada na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, huyu mbomoaji alikuwa anapaswa na ingekuwa ni ajabu sana kama asingebomoa ili kujenga upya kwa misingi inayokubalika katika dunia ya kisasa
Tatizo moja tu alibomoa na anaendelea kubomoa kwa 'pupa' na mbaya anaweza kujikuta na dalili zinaonyesha ujengaji wake unaweza kuwa na mapungufu maana hajui wapi pa kuanzia na nini cha kuchukua katika ujenzi huu mpya na mbaya pia muda nao wa kukamilisha ujenzi sio 'rafiki' sana kwake na kwetu tunaotaka hiyo dunia mpya
Wasalam
Na nikiri kutoka moyoni leo ndo siku yangu ya kwanza ku 'post' mada hapa japokuwa ni 'muhenga' kwa kupitia na kuchangia hapa na pale ktk 'nyuzi' za wana jamii wengine
Tukirudi katika mada na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, huyu mbomoaji alikuwa anapaswa na ingekuwa ni ajabu sana kama asingebomoa ili kujenga upya kwa misingi inayokubalika katika dunia ya kisasa
Tatizo moja tu alibomoa na anaendelea kubomoa kwa 'pupa' na mbaya anaweza kujikuta na dalili zinaonyesha ujengaji wake unaweza kuwa na mapungufu maana hajui wapi pa kuanzia na nini cha kuchukua katika ujenzi huu mpya na mbaya pia muda nao wa kukamilisha ujenzi sio 'rafiki' sana kwake na kwetu tunaotaka hiyo dunia mpya
Wasalam