Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,287
Kiukweli unapotaka kushinda mechi ya soka ni lazima uwaze kandanda .
Wachezaji karibu wote wa Spain hawajuti kufanya makosa uwanjani , hawaonyeshi concentration ya mchezo , " THEY DO NOT FEEL THE GAME "
Ni kama ni wachezaji walioridhika na mafanikio waliyoyapata , wanafungika kirahisi sana .
Natabiri wataondolewa na ITALY .
Wachezaji karibu wote wa Spain hawajuti kufanya makosa uwanjani , hawaonyeshi concentration ya mchezo , " THEY DO NOT FEEL THE GAME "
Ni kama ni wachezaji walioridhika na mafanikio waliyoyapata , wanafungika kirahisi sana .
Natabiri wataondolewa na ITALY .