S samakinchanga JF-Expert Member Aug 24, 2014 2,010 1,214 May 24, 2019 #1 Yaani nimeona mahali fulani nimechukia sana,nyie hamuoni tunavyojituma na kucheza kiubingwa bingwa
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,270 81,532 May 25, 2019 #2 Ngoja waje kwa sasa wanajiandaa kusherehekea huo ubingwa wao kwa mara ya pili mfululizo mchana wa leo.
Ngoja waje kwa sasa wanajiandaa kusherehekea huo ubingwa wao kwa mara ya pili mfululizo mchana wa leo.
S samakinchanga JF-Expert Member Aug 24, 2014 2,010 1,214 May 25, 2019 Thread starter #3 leo wanasherehekea kombe lao
Tairi bovu JF-Expert Member Sep 28, 2017 3,063 2,983 May 25, 2019 #5 haha wazee wa dk 7 fc wakishinda tu mpira unaisha. wanapewa penalt wakikosa wanapewa nyingine wakishinda mpira unakwisha
haha wazee wa dk 7 fc wakishinda tu mpira unaisha. wanapewa penalt wakikosa wanapewa nyingine wakishinda mpira unakwisha