Ubinasi wetu ndo tatizo la ajira!!!!!!!!!!!!!!!

msani

JF-Expert Member
Jun 13, 2011
1,801
1,191
Kila unaposoma post za watu kilio chetu kinafanana.......ajira.....ajira....ajira....
Lakini wana jf mi nadhani tumekuwa wabinafsi sana na hatutaki kushirikiana,ni ukweli kwamba hatuna mitaji lakini kuna kazi zingine hazihitaji mitaji kwani kile ulichonacho kichwani ambacho umesomea miaka 3 au hata zaidi ni mtaji tosha iwapo mkikubali kushirikiana na wenzako,...watu hawataki kujiunga pamoja na kuanzisha ofisi yao ambapo kwao mtaji ni akili zao ambazo ni hitaji kubwa kwa jamii na badala yake tunalilia kuajiriwa tu ili tuendelee kuwa maskini na kuwanufaisha wengine kwa msoto ambao tumeusotea wkt tunasoma.
Kuanzisha kampuni yako kweli kuna msoto lakini mshindo wa mafanikio yake hapo baadae ni mkubwa.tunadanganywa kuwa kuna benki ya vijana inaanzishwa ambapo tunaweza kuanzisha biashara zetu lakini hao vijana wanaoongelea huenda usiwe wewe kwani huenda ukawa haupo ktk chama fulani cha siasa kwa hiyo msoto wako utakuwa palepale.mi nawaasa vijana wenzangu tujaribu kujiunga na wenzetu wa fani tofauti tofauti ili tuanze kuuza utalaamu wetu kwa jamii na tusisubiri mambo mepesi mepesi tu.
Najua vijana wengi mtachukia kwa ujumbe huu lakini ndio ukweli kwa mafanikio yako.
Mi nimemaliza chuo mwaka huu lakini tangu awali tulipanga na marafiki zangu kadhaa wa karibu wa fani tofauti ili tuanzishe kampuni yetu kwa kuwa huduma zetu hazihitaji mtaji mkubwa bali ni samani za ndani na kulipia ofisi,lakini tulipo maliza wengi waliogopa na kudai kuwa kozi zao zinauzika mjini kwa hiyo bora wakafanye kazi za kuajiriwa na tukabaki wawili lakini mchakato wetu unaendelea vizuri.
Naombeni tusiwe na mawazo ya kutafuta mamilioni ili tuanzishe ofisi zetu ambazo kwa hizo tutakuwa tumejiajiri!!!!!!
Msidhani mi ni mtoto wa fisadi kwa kutoa mawazo hayo.....maana ninachokifanya hata mzazi wangu hajui na sijarudi kijijini kwetu ingawa nasisitizwa nirudi kijijini ila ni kubaki hapahapa mjini kubanana mpaka kieleweke
inawezekanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wana jf maana ajira imekuwa kilio kwetu,tujiunge ili nasi tutoe ajira kwa hao wenye mawazo bado ya kuajiriwa,waendelee kusubiri
 
well said pal.. all the best in your endevours.. hope you will be successfull
 
Kila unaposoma post za watu kilio chetu kinafanana.......ajira.....ajira....ajira....
Lakini wana jf mi nadhani tumekuwa wabinafsi sana na hatutaki kushirikiana,ni ukweli kwamba hatuna mitaji lakini kuna kazi zingine hazihitaji mitaji kwani kile ulichonacho kichwani ambacho umesomea miaka 3 au hata zaidi ni mtaji tosha iwapo mkikubali kushirikiana na wenzako,...watu hawataki kujiunga pamoja na kuanzisha ofisi yao ambapo kwao mtaji ni akili zao ambazo ni hitaji kubwa kwa jamii na badala yake tunalilia kuajiriwa tu ili tuendelee kuwa maskini na kuwanufaisha wengine kwa msoto ambao tumeusotea wkt tunasoma.
Kuanzisha kampuni yako kweli kuna msoto lakini mshindo wa mafanikio yake hapo baadae ni mkubwa.tunadanganywa kuwa kuna benki ya vijana inaanzishwa ambapo tunaweza kuanzisha biashara zetu lakini hao vijana wanaoongelea huenda usiwe wewe kwani huenda ukawa haupo ktk chama fulani cha siasa kwa hiyo msoto wako utakuwa palepale.mi nawaasa vijana wenzangu tujaribu kujiunga na wenzetu wa fani tofauti tofauti ili tuanze kuuza utalaamu wetu kwa jamii na tusisubiri mambo mepesi mepesi tu.
Najua vijana wengi mtachukia kwa ujumbe huu lakini ndio ukweli kwa mafanikio yako.
Mi nimemaliza chuo mwaka huu lakini tangu awali tulipanga na marafiki zangu kadhaa wa karibu wa fani tofauti ili tuanzishe kampuni yetu kwa kuwa huduma zetu hazihitaji mtaji mkubwa bali ni samani za ndani na kulipia ofisi,lakini tulipo maliza wengi waliogopa na kudai kuwa kozi zao zinauzika mjini kwa hiyo bora wakafanye kazi za kuajiriwa na tukabaki wawili lakini mchakato wetu unaendelea vizuri.
Naombeni tusiwe na mawazo ya kutafuta mamilioni ili tuanzishe ofisi zetu ambazo kwa hizo tutakuwa tumejiajiri!!!!!!
Msidhani mi ni mtoto wa fisadi kwa kutoa mawazo hayo.....maana ninachokifanya hata mzazi wangu hajui na sijarudi kijijini kwetu ingawa nasisitizwa nirudi kijijini ila ni kubaki hapahapa mjini kubanana mpaka kieleweke
inawezekanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wana jf maana ajira imekuwa kilio kwetu,tujiunge ili nasi tutoe ajira kwa hao wenye mawazo bado ya kuajiriwa,waendelee kusubiri

Niungane na wewe kwa kuongeza neno moja, tafsiri ya mtaji haijaeleweka kwa wengi wetu. Nilipofikia uamuzi wa kutaka kujiajiri mwenyewe,niliangalia nguvu nilizonazo kwanza, nikagundua nina nguvu za kufanya mambo yatokee,kwa hiyo nikafuta wazo la kukopa. Niliamua kuipa akili yangu nafasi ili ifanye kazi yake ktk mazingira niliyokuwepo. Milango ikafunguka.
 
its well bt try to summaries your work!!! ndo maana hamna komenti hapa!!!
 
Mimi hata nikipata pesa siwezi kuajiri mtu, ya nini niwe na headache? Ni bora nikanunua suzuki nadunda nayo mtaani kila mtu ananijua kuwa nami nina usafiri.
 
Mimi hata nikipata pesa siwezi kuajiri mtu, ya nini niwe na headache? Ni bora nikanunua suzuki nadunda nayo mtaani kila mtu ananijua kuwa nami nina usafiri.

Akili ni nywele, kila mtu ana zake........, ss ukishanunua gari ili iweje...? kwani gari ni nn kwa maisha ya ss.? hata hiyo gari nayo ina headache...., wangapi wana magari na wanayaacha nyumbani kwa kukosa pesa ya mafuta...? Fikiri kwa upana wa fikra na si kwa ufupi wa fikra...!
 
Wewe unafaa kwa dunia ya sasa, ila usiogope kukopa benki. Bila mkopo hujawa mfanyabiashara wa ukweli....... Nami kama wewe vile. Wazo moja njia moja na mtazamo mmmmmmumojaaaaa
 
Kila unaposoma post za watu kilio chetu kinafanana.......ajira.....ajira....ajira....
Lakini wana jf mi nadhani tumekuwa wabinafsi sana na hatutaki kushirikiana,ni ukweli kwamba hatuna mitaji lakini kuna kazi zingine hazihitaji mitaji kwani kile ulichonacho kichwani ambacho umesomea miaka 3 au hata zaidi ni mtaji tosha iwapo mkikubali kushirikiana na wenzako,...watu hawataki kujiunga pamoja na kuanzisha ofisi yao ambapo kwao mtaji ni akili zao ambazo ni hitaji kubwa kwa jamii na badala yake tunalilia kuajiriwa tu ili tuendelee kuwa maskini na kuwanufaisha wengine kwa msoto ambao tumeusotea wkt tunasoma.
Kuanzisha kampuni yako kweli kuna msoto lakini mshindo wa mafanikio yake hapo baadae ni mkubwa.tunadanganywa kuwa kuna benki ya vijana inaanzishwa ambapo tunaweza kuanzisha biashara zetu lakini hao vijana wanaoongelea huenda usiwe wewe kwani huenda ukawa haupo ktk chama fulani cha siasa kwa hiyo msoto wako utakuwa palepale.mi nawaasa vijana wenzangu tujaribu kujiunga na wenzetu wa fani tofauti tofauti ili tuanze kuuza utalaamu wetu kwa jamii na tusisubiri mambo mepesi mepesi tu.
Najua vijana wengi mtachukia kwa ujumbe huu lakini ndio ukweli kwa mafanikio yako.
Mi nimemaliza chuo mwaka huu lakini tangu awali tulipanga na marafiki zangu kadhaa wa karibu wa fani tofauti ili tuanzishe kampuni yetu kwa kuwa huduma zetu hazihitaji mtaji mkubwa bali ni samani za ndani na kulipia ofisi,lakini tulipo maliza wengi waliogopa na kudai kuwa kozi zao zinauzika mjini kwa hiyo bora wakafanye kazi za kuajiriwa na tukabaki wawili lakini mchakato wetu unaendelea vizuri.
Naombeni tusiwe na mawazo ya kutafuta mamilioni ili tuanzishe ofisi zetu ambazo kwa hizo tutakuwa tumejiajiri!!!!!!
Msidhani mi ni mtoto wa fisadi kwa kutoa mawazo hayo.....maana ninachokifanya hata mzazi wangu hajui na sijarudi kijijini kwetu ingawa nasisitizwa nirudi kijijini ila ni kubaki hapahapa mjini kubanana mpaka kieleweke
inawezekanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wana jf maana ajira imekuwa kilio kwetu,tujiunge ili nasi tutoe ajira kwa hao wenye mawazo bado ya kuajiriwa,waendelee kusubiri
I agree with you lakini shirikisha huo mchakato wako
 
Back
Top Bottom