Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,326
NIimesoma kupitia gazeti la Citizen na nimeona unamshauri Raisi aunde Tume kuchunguza ubinafsishaji wa mashirika yote ya umma badala ya kudili na swala la kampuni ya Airtel pekee.
Wapinzani,ifike mahali mbadilike na zaidi mjifunza kwa Nassari na Lema juu ya wito walioutoa kwa mheshimiwa wa kutaka awachukulie hatua wateule wake waliotuhimiwa kuhonga madiwani na alichokuja kufanya mheshimiwa kwa wateule hao.
Nilishawahi kusema na leo narudia,nyinyi kama wabunge wa upinzani pelekeni hoja zenu Bungeni bila kujali zitapokelewa au laa cha msingi wananchi waone juhudi zenu na kisha wapime dhamira ya wana-CCM katika hiki wanachokiita ni vita vya kupambana na rushwa.
Mkipeleke hoja zenu zikakatakiwa au kama Bunge litazipokea na baadae kuja na maazimio alafu serikali ikashindwa kuyatekeleza, basi wananchi watakuwa wamepata majibu na hata nyinyi mtakuwa na hoja za kuwaeleza wananchi kuwa Bunge au serikali imekata hoja zenu hivyo si kwelu hawa mabwana wana nia ya dhati ya kupambana na rushwa na ufisadi kama wanavyojinadi.
Zitto unachopawa kufanya ni kupekeka hoja binafsi Bungenj kutaka Bunge liunde kamati teule kuchunguza mchakato mzima wa ubinafsishaji wa mashirika ya umma au kulitaka Bunge lipitishe azimio la kuitaka serikali iunde Tume huru kuchunguza huo mchakato.
Tumieni nafasi zenu kama wabunge na wananchi wataona juhudi zenu ndani na nje Bunge na pia watapata nafasi ya kupima dhamira ya wana-CCM.
Yako mambo mengi sana yanakuja na kupita ambayo Bunge lilipaswa kuingilia kati hivyo nyinyi kama wabunge wa upinzani timizeni wajibu wenu wa kupeleka hoja binafsi Bungeni bila kujali kama walio wengi ndani ya Bunge watakwamisha hoja zenu au watazikubali.
Badilikeni.
Wapinzani,ifike mahali mbadilike na zaidi mjifunza kwa Nassari na Lema juu ya wito walioutoa kwa mheshimiwa wa kutaka awachukulie hatua wateule wake waliotuhimiwa kuhonga madiwani na alichokuja kufanya mheshimiwa kwa wateule hao.
Nilishawahi kusema na leo narudia,nyinyi kama wabunge wa upinzani pelekeni hoja zenu Bungeni bila kujali zitapokelewa au laa cha msingi wananchi waone juhudi zenu na kisha wapime dhamira ya wana-CCM katika hiki wanachokiita ni vita vya kupambana na rushwa.
Mkipeleke hoja zenu zikakatakiwa au kama Bunge litazipokea na baadae kuja na maazimio alafu serikali ikashindwa kuyatekeleza, basi wananchi watakuwa wamepata majibu na hata nyinyi mtakuwa na hoja za kuwaeleza wananchi kuwa Bunge au serikali imekata hoja zenu hivyo si kwelu hawa mabwana wana nia ya dhati ya kupambana na rushwa na ufisadi kama wanavyojinadi.
Zitto unachopawa kufanya ni kupekeka hoja binafsi Bungenj kutaka Bunge liunde kamati teule kuchunguza mchakato mzima wa ubinafsishaji wa mashirika ya umma au kulitaka Bunge lipitishe azimio la kuitaka serikali iunde Tume huru kuchunguza huo mchakato.
Tumieni nafasi zenu kama wabunge na wananchi wataona juhudi zenu ndani na nje Bunge na pia watapata nafasi ya kupima dhamira ya wana-CCM.
Yako mambo mengi sana yanakuja na kupita ambayo Bunge lilipaswa kuingilia kati hivyo nyinyi kama wabunge wa upinzani timizeni wajibu wenu wa kupeleka hoja binafsi Bungeni bila kujali kama walio wengi ndani ya Bunge watakwamisha hoja zenu au watazikubali.
Badilikeni.