Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,009
- 173,659
Haikuhusu! As long as unafanya part yakoKwa hiyo Jamaa aendelee kufurahia bila kujali mkewe amezipataje au siyo?!!.
Haikuhusu! As long as unafanya part yakoKwa hiyo Jamaa aendelee kufurahia bila kujali mkewe amezipataje au siyo?!!.
Sasa km hainihusu ameileta hapa ya Nini??,Si angebaki kimya??.Mfyuuuuuu.Haikuhusu! As long as unafanya part yako
Sijasema wadada wote huumizwa hivyo kuwa selfish,Is that an excuse?
So men have right pia kua makatili kisa wametendwa au wanaotendwa ni wanawake tu mamangu?
Weee unaweza ukamtukana mwanaume yeyote kisa umeumizwa na mtu mwenye jinsia hiyo? Acha zako mkuu unahararisha ujinga tu other wise useme demu alikuwa opportunits ntakuelewa.sijasema wadada wote huumizwa hivyo kuwa selfish,
#extrover umeupiga mwingi sana inaonesha hamna hujaacha soma humuHaikuhusu! As long as unafanya part yako
Angalia usije ukawa na msaidizi,mwenyewe unakiri kua hela unamwachia kiduchu,hujiongezi hiyo hela ya ziada inatoka wapi?,bro shutuka mapemaHuyo dada hakumpenda jamaa,ila mwanamke akikupenda NYIEEEE
Back to me mama watoto hana kazi ni mama wa nyumbani,ila can u imagine huwa anabana hela ninayomuachia then ananichukulia zawadi kali sana,,halafu ukichek hela ninayomuachia ni kuduchuu mno
Tena roho mbaya hadi shetani anaiogopaSawa ni mama zetu ila wanawake wana ROHO MBAYA SANA, mnaweza kulala njaa ndani (familia) ila mwanamke ana hela.
Hii comment iwekewe laminationKama mwanamke sio Mke Wako na HAUJAMZALISHA WATOTO. usimsomeshe.. usimuanzishie biashara, na hakika usijenge kabisa kwao.. ni hela ya chipsi tu ndio umpe..
Utaogopa kutendwa mpaka lini.....hata usubiri milele hautompata huyo Malaika.....kama vipi uje nikutende pia........Nina shost yangu ni mfanyabiashara mzuri tu wa nafaka na anaingiza faida nzuri kwa sasa.
Ana mtu wake ambaye alisimama bega kwa bega kuhakikisha anafika hapo alipo. Huyo mtu wake kipindi hicho aliamua kuwekeza akili, mawazo na hela kwaajili ya kuhakikisha mpenzi wake anasimama kibiashara. Kweli bi shost wangu alifanikiwa kufikia malengo kwa msaada wa huyo shem.
Mkuu,Kwenye mahusiano yao kuna kitu hakipo sawa
Ukiacha swala la roho mbaya kwa wanawake
Hakuna roho mbaya ya kiasi hicho kwa watu wanaopendana
Upendo una nguvu sana
Hakika nawaambia kama mahusiano yao yangekuwa yako sawa huyo jamaa angejivunia kuwekeza kwa mpenzi wake
Mpenzi wako aliyekusaidia ufike hapo ulipo tena kiuchumi leo kapata changamoto unasema apambane na hali yake??
Mbona jamaa hana ujasiri wa kwenda kwa mpenzi wake ambaye anajua hapo alipofika ni kwa sababu yake? Had analala na njaa?
Kuna kitu bado hujakijua kipo nyuma ya panzia, chunguza.
Ni kweli kabisa mkuu,Kuna mambo mawili makubwa ambayo nimejifunza katika maisha yangu ya kuishi na wanawake:
1. Mwanamke hata umsaidie kiasi gani, na kwa muda mrefu kiasi gani, ikitokea siku UKASHINDWA kumsaidia kwa kitu kidogo tu, ule msaada wote wa nyuma hua UNASAHAULIKA! Yaani mwanamke hata umsomeshe, umjengee nyumba, mnunulie gari, mfungulie biashara nk siku ikitokea umefilisika na akaona kabisa huna tena msaada kwake, anasahau kila kitu. Mwanamke anakuthamini kama unamsaidia SASA.
2. Unapokua na mwanamke, chochote unachomfanyia, hata umnunulie NDEGE, meli, treni nk, yeye akikupa papuchi tu anahesabu kwamba AMEKULIPA kwa hicho ulichomfanyia. Kwahiyo akilini mwake ni kwamba HANA DENI kwako maana si ameshakupa mzigo? Ndio maana huyu anadiriki kusema jamaa apambane na hali yake maana yeye anahesabu kwamba jamaa alimsaidia IN EXCHANGE for mbunye kwahiyo WALISHAMALIZANA!
Ilinikuta few years ago niliuza geto nikahamia kwa manzi angu nikiwa Sina directionMkuu,
wanaume tuko
Tofauti.
Hapa Najaribu kuvaa viatu vya jamaa,
binafsi wengine hatujaumbwa kuomba omba omba au kulia Lia shida kwa wanawake au watu baki.
Sometimes
tunakutana na Changamoto unakaza tu kiume,
Mwanaume kuomba chakula kwa mwanamke Ni fedhea.
(Hasa Kama ushauona KABISA upepo wa mwanamke ulienae ni mtu wa Aina gani)
Honestly,
Jamaa alikua sahii kabisa.
Usemayo Ni kweli kabisa,Shemeji yenu bado namchora level yake ya UBINAFSI.Mpaka sasa nmegundua hata ukimpa hela saa moja iliyopita kama zawadi ni ngumu kutoa hapo hela kidogo kukununulia kitu ROHO INAMUUMA SANA nlimsoma, Nlimpa laki kama zawadi wakati tunarudi shoping ya vitu vyake tukapitia kununua icecream alikuwa anasita kutoa hela kununua akati me huwa namnunuliaga daily zawadi nkirud om.Afu eti anataka nimfungulie biashara kubwa akati nna akili zangu kichwani ni ivi siwezi fanya ivo japo nawish asingekuwa mbinafsi nimfanyie..... nnapanga kufungua akaunti za siri, Niwe naficha pesa zangu na kufanya biashara zangu maana me mwenyewe mbinafsi PUMBAAAAF MTAISOMA NAMBA
Kwani unadhani wanaosema mshahara wa mume Mil 1 + mshahara wa mke 3mil = 1mil wanatania.
Mwanamke kukuvumilia na kukulindia heshima uchumi ukiporomoka ni nadra sana.
Unaweza kuhangaishwa na ka hela kadogo mpaka ukapata stress huku mkeo katoka kuvunja KIKOBA na anakusikia unavyojilalamisha kukosa hiyo elfu 50.Huku wewe ndie mtoa hela za marejesho ya hicho KIKOBA.Sawa ni mama zetu ila wanawake wana ROHO MBAYA SANA, mnaweza kulala njaa ndani (familia) ila mwanamke ana hela.