MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
*Tujifunze Kusema "Aksante"*
Maana hapo ulipo si kwa ujanja wako bali Muumba wako.
Pia kile ulichonacho "Uhai",si chako bali umeazimwa.
Wakumbuke ndugu na rafiki waliosaidiana na wewe km binAdamu kufikia hapo ulipo.!
Usiruhusu Chuki na visasi vikutawale,kwani kama mtu hakukusaidia inawezkn hakuwa nacho au alighafirika kukusaidia ktk kipindi hicho ulichohitaji msaada wake(wao).
Jifunze kusamehe,kusahau na kuonesha upendo wa watu wote hta km unahic umewazidi mafanikio!
By Mjr
Maana hapo ulipo si kwa ujanja wako bali Muumba wako.
Pia kile ulichonacho "Uhai",si chako bali umeazimwa.
Wakumbuke ndugu na rafiki waliosaidiana na wewe km binAdamu kufikia hapo ulipo.!
Usiruhusu Chuki na visasi vikutawale,kwani kama mtu hakukusaidia inawezkn hakuwa nacho au alighafirika kukusaidia ktk kipindi hicho ulichohitaji msaada wake(wao).
Jifunze kusamehe,kusahau na kuonesha upendo wa watu wote hta km unahic umewazidi mafanikio!
By Mjr