Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,780
Tupone wapi ndugu yanguHalafu mbia wake alikuwa ndio kinara wa nchi!!! Nchi itapona kweli?
Tupone wapi ndugu yanguHalafu mbia wake alikuwa ndio kinara wa nchi!!! Nchi itapona kweli?
Tupone wapi ndugu yanguHalafu mbia wake alikuwa ndio kinara wa nchi!!! Nchi itapona kweli?
Ni sheria ya mataifa mengi ila kabla hujafikia pa kusema umepata hasara tayari wanakuwa wameshahakiki hesabu zako hivyo huna pa kutokea.. Hapa kinachotuponza ni uzalendo na 10%Sio shamba la bibi hili ila naona na bibi mwenyewe alirogwa maana wanakula hata wasio wajukuu zake
Hivi kuna binadamu walikaa kabisa na kutunga sheria kuwa muwekezaji ale 5 bila kodi
Maskini ya Mungu nchi yangu
Je pamoja na sheria mbovu hii wawekezaji wangapi wamewekeza na kuendelea ? 10,000 ama
Ninayemuonea huruma ni mtanganyika kwa hali zote kuanzia huduma muhimu za jamii mpaka future yake kama mwananchi.. Mimi wewe yule na sisi sote tunaoendelea kupigwa na vitu vizito kwa ghiliba za watawala na mapebari kupitia chama chawala
Week ijayo nayo bolt kunabuma ni mkao wa kusubiri tuuBolt wanaendelea na Kazi.
Anyway Maisha lazima yaendelee...
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dah Sang'udi amelikeBora kaondoka kipindi tofauti na kile, maana mada ingekuwa 🔥!.
Ni sheria ya mataifa mengi ila kabla hujafikia pa kusema umepata hasara tayari wanakuwa wameshahakiki hesabu zako hivyo huna pa kutokea.. Hapa kinachotuponza ni uzalendo na 10%
Nimeweka kupumzisha mapafu.Giwe kizani
Anyway Maisha lazima yaendelee...Week ijayo nayo bolt kunabuma ni mkao wa kusubiri tuu
Hustling ni utafutaji kijana, uber ni ajira.Uber nayo utaita hustling?
Siyo kosa mkuuNi kosa?
Mtajuana wenyewe huko haituhusu!bro mimi ni dereva wa bolt hyo bei unayosema hapo ya bolt tujiulize wote 10000 hyo bolt wanakata 23.5%kama comision yao dereva anabaki na shilingi ngapi?? bolt wanaumiza sana madereva kwa kigezo cha kumjali mteja kitu ambacho sio sahihi, Latra wametoa bei elekezi na wamewaambia comision yao isizidi 15% nauli za mchana na usiku zitofautioane. na hapo hii bei elekezi LATRA walitoa kabla hata ya mafuta kupanda kama yalivyo sasa. wao wanataka waendelee na bei za zamani na commisiom za zamani dereva na mwenye chombo atapata faida gani??
😂😂😂Hatari .
Nchi imefunguliwa mpaka imeanza kujifunga yenyewe.