KIBABU03
Member
- Jun 13, 2016
- 8
- 8
By Kibabu03
Habari zenu wana JF.
Kitu ambacho nakiona kikiendelea miongoni mwa Watanzania wengi ni hili janga lakuchagua upande wakusapoti, mfno Chama tawala dhidi ya Vyama Pinzani.
Ukishachagua upande ni ngumu sana kuona mazuri ya upande ambao haujauchagua. mfno kama wew ni Mwana CHADEMA, ngumu sna kuona mazuri yanayofanywa na CCM, au kama Wew ni CCM ngumu sana kuona mazuri yanayofanywa na Wanaoisapoti CHADEMA, kama juhudi za Lissu, Nassari na wengine. Hii inatokana na ugonjwa huu mbaya wakuchagua upande na kuusapoti hata kwa mabaya yanayofanywa na upande unaosapoti.
ukiwa CCM kila analofanya Kiongoz wako wa CCM basi ni sahh na ni kama Malaika hakosei. vivyo hivyo ukiwa CHADEMA au chama kingine cha upinzan, basi wao muda wote wapo sahih na Utasapoti kila kitu.
huwa nafurah kuona mwana chama CCM, CHADEMA,ACT,UDP,CUF au vyama vingine anapokikosoa chama chake kinapofanya madudu. hawa watu ni wachache sana, wakati mwingine huitwa wasaliti. Pia huwa nafurah sana kuona Mwanachama wa CCM anasapot hoja ya Mwana CHADEMA yenye masirah kwa Taifa na Mwana CHADEMA akisapoti hoja ya mwanachama wa CCM yenye masirah kwa taifa. sisi ni wamoja na tunajenga Nyumba moja lakin muda wote tunagombaniana FITO.
Nchi kwanza vyama Baadae.
Jumamosi njema.
By Kibabu03
Habari zenu wana JF.
Kitu ambacho nakiona kikiendelea miongoni mwa Watanzania wengi ni hili janga lakuchagua upande wakusapoti, mfno Chama tawala dhidi ya Vyama Pinzani.
Ukishachagua upande ni ngumu sana kuona mazuri ya upande ambao haujauchagua. mfno kama wew ni Mwana CHADEMA, ngumu sna kuona mazuri yanayofanywa na CCM, au kama Wew ni CCM ngumu sana kuona mazuri yanayofanywa na Wanaoisapoti CHADEMA, kama juhudi za Lissu, Nassari na wengine. Hii inatokana na ugonjwa huu mbaya wakuchagua upande na kuusapoti hata kwa mabaya yanayofanywa na upande unaosapoti.
ukiwa CCM kila analofanya Kiongoz wako wa CCM basi ni sahh na ni kama Malaika hakosei. vivyo hivyo ukiwa CHADEMA au chama kingine cha upinzan, basi wao muda wote wapo sahih na Utasapoti kila kitu.
huwa nafurah kuona mwana chama CCM, CHADEMA,ACT,UDP,CUF au vyama vingine anapokikosoa chama chake kinapofanya madudu. hawa watu ni wachache sana, wakati mwingine huitwa wasaliti. Pia huwa nafurah sana kuona Mwanachama wa CCM anasapot hoja ya Mwana CHADEMA yenye masirah kwa Taifa na Mwana CHADEMA akisapoti hoja ya mwanachama wa CCM yenye masirah kwa taifa. sisi ni wamoja na tunajenga Nyumba moja lakin muda wote tunagombaniana FITO.
Nchi kwanza vyama Baadae.
Jumamosi njema.
By Kibabu03