LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,184
Kule Iran ilianza kutandika wabunge kwanza hadi makamu wa rais, kule england na italy ni balaa wabunge mpaka mawaziri,Kule Uk imeanza kumtandika waziri wa Afya, kuna waziri mkuu kule Canada mkewe imemtandika its bad news
Kama kweli haujafika hapa tz ni jambo la kumshukuru mungu ila kama umefika na mnaficha ficha. ngojeni ukimpiga mmoja wenu mtafunguka wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli haujafika hapa tz ni jambo la kumshukuru mungu ila kama umefika na mnaficha ficha. ngojeni ukimpiga mmoja wenu mtafunguka wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app