Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,285
- 2,841
- Thread starter
- #61
Sawa mkuu kama kwako wewe unaona Yanga ndio iko bora kuliko simba una haki ya kuamini Simba anakufa leo .....lakini iwe tu uhalisia sio ushabikiiKwa hyo wote tuwe na jicho moja kwamba simba iko bora itashinda? Basi ungeenda kwenye group lenu la wasap kila mmoja ana namna yake ya kuanalyse mambo