Kuna uwezekano mkubwa sana ikatokea. Kwa jinsi Morrison na Miquissone wanavyolazimishaga kuingia kwenye eneo la 18, na kwa uchezaji wa rafu wa beki ya Yanga, uwezekano ni mkubwa Simba wakapata penati, idadi yake sijui ila walau moja
We ni kichaaMbona nimeandika hapo chini bashiri kulingana na ubora wa timu shindanii sio mapenzi na ushabikii
Mkuu hii mechi sio ya kukubali kupoteza wachezaji wanatakiwa waitolee macho kwa asilimia zote ni mechi muhimu mnoo ......baada ya game hii ndio tuwaze kuhusu hao Kaizer chiefsKwa waamuzi hawa hawa tunaowajua?
Kama mngekuwa mnafikiri vizuri mngeungana na mimi kuwashauri wachezaji wacheze kwa tahadhari waki focus mechi ya kaizer chief badala ya kujituma mechi hii ambapo kuna watu wamekusudia kuwavunja wachezaji wetu na mwisho inaishia mtu kupewa adhabu ya kufungiwa miezi mitatu tu huku akipokea mshahara kutoka kwa GSM
Mpira haupo hivyo, kila mechi ina matokeo yake binafsiUshindi wa Yanga hata mechi za kawaida ni goli moja moja sasa hizo mbili kwa Simba atazipataje.
hii post inachekesha aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yanga 2 Simba 1
Ndio ww ni kichaa, maana ww unataka watu watabiri utakavyo wewe sasa ww kama sio kichaa utakuwa nani?Mkuu yamekuwa haya tena??
mkuu usipoteze muda tabiri Simba itafunga Yanga goli ngapi. hii habari ya Yanga kuifunga Simba ni kutochosha tu,haipoSasa mkuu kulikuwa hakuna haja ya uzi kama ulitaka wote waamini uaminivyo.
Wanapenda sana hii "kaulii derby haitabiriki" au ile wanayoipenda hadi wachambuzi "Derby haingalii ubora wa timu kwa wakati huo"Yanga ikiizungumzia Simba Sc inakwepa kabisa kujadili performance za timu na mwenendo wa matokeo ya games zilizopita. Maana yake wanategemea wataamkaje na zali
Hujawai niangusha,natembea na Under ya goli tatu.Japo darby wengi tunasema haitabiriki , kila timu ikiwa kwenye ubora wake siioni sare .. naiona goli 2-1