Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,285
- 2,841
Joto linazidi kupanda kuelekea game ya watani wa Jadi, Simba vs Yanga hapo kesho May 8.
Ukiwa kama shabiki wa soka bila kuangalia mapenzi ya timu yako weka ubashiri wako ni kwa namna gani unaiona game hiyo inaisha hapo kesho.
Je, ni Simba yenye kikosi bora kabisa kupata matokeo au Yanga.
Wengi wanasema hizi game hazitabiriki lakini nataka tuone ni wana JF wangapi wanaweza kuipatia matokeo ya hii game kwa 100% (Correct score)
NB: Ubashiri ubase kwenye uhalisia wa vikosi na ubora wa timu shindani na si ushabiki/mapenzi ya timu yako
Ukiwa kama shabiki wa soka bila kuangalia mapenzi ya timu yako weka ubashiri wako ni kwa namna gani unaiona game hiyo inaisha hapo kesho.
Je, ni Simba yenye kikosi bora kabisa kupata matokeo au Yanga.
Wengi wanasema hizi game hazitabiriki lakini nataka tuone ni wana JF wangapi wanaweza kuipatia matokeo ya hii game kwa 100% (Correct score)
NB: Ubashiri ubase kwenye uhalisia wa vikosi na ubora wa timu shindani na si ushabiki/mapenzi ya timu yako
#KWANI WAO WANASEMAJE?