Uchaguzi 2020 Ubalozi wetu nchini Marekani utoe tamko kwa ajili ya mwenendo wa Uchaguzi Marekani

Mchina huyu huyu mliomnyima kujenga bandari bagamoyo???!

Alafu unamsema mrusi yupi??? Huyu ambaye kachakaa kiuchumi na hana military installations Africa Mashariki???

Hujui Hapo Mombasa na Djibouti Mmarekani ameweka military installations na bases za kutisha??? Unajua kwa juu tu pale kuna mshirika no 1 wa Marekani duniani Taifa la Mungu Israel???

Nadhani unahadithiwa tu juu ya Marekani. Hawajui vizuri!
Tena subiria bungeni tupate 2/3 mtafurahi sana na huyo Mmarekani wenu


Kibaha, Pwani: Uwekaji wa jiwe la msingi Chuo cha Uongozi cha Julius Nyerere
Screenshot_20201002-072300_Samsung Internet.jpg
 
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Wewe unaongea kis**e demokrasia ipi wakati Trump akitangazia umma kuwa hataachia madaraka kwa mshindi wa uchaguzi tofauti na yeye?
 
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
.
Daah kweli Tanzania bado Ina watu wajinga Sana aisee, Yani Rais anachaguliwa na kikundi Cha watu Wachache tu halafu unasema ndo Nguli wa democracy?

Mtu anapigwa gape la Kura ya zaidi ya 2m za Wananchi na huyo ndo anakuwa Rais halafu bado unaaminisha watu kuwa hao ndo Nguli wa democracy?

Toka miaka nenda Rudi nchi ina vyama viwili tu na haitaki mtu aanzishe chama kingine halafu ndo unasema Ni Nguli wa democracy?

Acha kuwa kipofu Kijana.
 
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Acha basi ushabiki wa kukariri kama hufuatilii International news! Shinda ya kuwa na mawazo mgando ya kikoloni
1. Kwani hujasikia Trump akisema hatakubali matokeo???
2. Hujasikia juzi kwenye mdahalo Trump akiongea kwa vurugu kila mwenzake akipewa nafasi utafikiri ni sokoni?? karibu mdahalo uvunjike??
3. Demokrasia gani ya weusi kunyanyaswa na kuuliwa karibia kila miezi tatu???

SIO KILA KINGAACHO NI DHAHABU!!!!!
 
kabla hawajatunyooshea vidole wawaambie maswahiba zao mazayuni waache dhulma juu wa wapalestina

Kabla ya kushughulika na mzayuni pana mkoloni mweusi hapa aliye tayari kuwatoa wengine wote kafara (ukiwamo wewe) kama itamfanya abakie madarakani.
 
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Ipi?
 
Marekani kuna demokrasia na wanajitambua na kufuata sheria hawana shida yoyote wale ni ma-papa wa demokrasia duniani tunapaswa kuwasikiliza na kuwaacha watusimamie manake bado wachanga kidemokrasia. Tunaunga mkono tamko la Marekani juu ya udhalimu unaoendelea katika uchaguzi wa Tanzania.
Uongo
 
ni kwasababu hauna haki ya kuwambia marekani chochote kile. Ila wao wanahaki ya kukushauri chochote kile. Na ukijaribu kuwashauri marekani watakuita gaidi.
Sasa hiyo ndio haki ambayo mungeitafuta

Kama vile Zanzibar haiwezi kuishauri chochote Tanganyika
 
We kweli jingalao.unataka Tanzania ijitutumue mbele ya marekani nyie Tanzania mmewahi kutoa msaada gani kwa marekani?
 
Ni muhimu ubalozi wa Tanzania Nchini marekani ukatuwakilisha vyema kwa kutoa tamko rasmi la jinsi mwenendo wa uchaguzi unavyoendelea nchini Marekani.
Ni muhimu kuwaasa wagombea urais huko marekani kuacha kutupiana maneno bali wanadi sera zao.
Sema tuwawekee vikwazo kabisa hao wamarekani. Tamko halitasaidia kitu. Balozi wao nchini afukuzwe na wetu arejeshwe nyumbani
 
Ili kuepusha dunia kuingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi Ni sahihi kwa jumuia za kimataifa zinatakiwa kuziingilia nchi zote duniani zenye watawala wenye viashiria vya uvunjifu wa haki na amani kwa kutumia njia yeyeto kuwaondoa madarakani. Shida kubwa ya Africa Ni ukosefu wa mifumo sahihi ya kuchagua viongozi. Afrika viongozi awaandaliwi Bali wanaokotwa.
 
Tatizo sisi watanzania tunakasumba ya kujidharau kwani hawezi kuwashauri wao si ni binadamu kama sisi au wamarekani wametoka sayari ya Jupiter,, au hawezi kuongea huyu balozi wetu ?
 
Back
Top Bottom