Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
Huyo ni mtuhumiwa mtarajiwa wa ICC. File lake lipo pazuri sana na jiandaeni tu na iyo nyundochadema hamtaamini kitakacho tokea mwisho wa hili sakata, lazima jpm awa prove wrong eu na wote wanaoiwazia mabaya nchi yetu. Nchi hii ina Mungu ndugu zangu tofauti na tunavyo dhani, tumekwepa mengi sana yaliyokua yanafikiliwa km yangetuvuruga kabisa lakini tumevuka na chadema mkiwa mashahidi lakini bado hamjifunzi kuweka akiba ya maneno