Ubalozi wa Tanzania US ni vituko tupu

balozi zetu zote ni vituko, tofauti kabisa na balozi za wenzetu. unajua kwamfano mmarekani akija hapa tz akaamua kutembelea ubalozi wake, treatment anayopewa ni nzuri ila mbongo ukiwa nje ukatembelea ubalozi wetu wowote ule, cha kwanza wanakuona kama umeenda pale kuomba msaada labda maisha yamekupiga, wanaanza kujidistance awali kabisa wakikuona.

niliwahi kutembelea ubalozi mmoja hivi tena nikiwa mwanafunzi,nina hela yangu na sikwenda pale kuomba hela ila kuongewa tu mhuri kwenye nyaraka fulani ambayo ilitakiwa nirudi nigongewe bongo, nikasema niende tu ubalozini hapa wanigongee...nilihisi kama mtu akipata tatizo bora ukimbilie ubalozi wa mzungu kuliko ubalozi wao.

hawa madiplomat wetu wanatakiwa wafundishwe kabla hawajaenda huko wajue wameenda huko kwa kodi zetu na ndizo zinazowalipa mishahara. over.
Nilishaujua huo ubalozi.....Kuna dogo aliwahi kwenda kujisalimisha ubalozi wa UK in the name of Common Wealth na akasaidiwa.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wa kulaumiwa ni hawa ndugu zangu yaani wamepoteza alama ya uongozi,, kwa sasa imekuwa kama kupewa uongozi kama fadhila fulani au sehemu ya asante ya CCM,,
Jamani tusipokuwa makini na ndugu twafwaaaaa!!!!
 
Nimefatilia mjadala mwanzo mwisho tatizo sio wafanyakazi balozini tatizo ujuaji wa baadhi ya wabango wakitoka nje ya nchi wanajiona ni watanzania pro max wanajiona wao wanapaswa kunyenyekewa kwasabu ni zaidi ya Raia ukiwasikiliza hata ongea yao wanaongea kiswanglish ushamba mtupu,nakumbuka JK aliulizwa swali na mtanzania anayeishi ughaibuni kwamba akirudi nyumbani serekali imewaandalia mazingiragani kisa wameishi ughaibuni hata kama wame ovar stay,kwa mentality hizi mkikutana huko balozini kilamtu mjuaji anajiona ni zaidi ya mwenzake lazima mzinguane
 
Mimi niko hapa nchi jirani wakuu.

nataka niwaambie , ubalozi w huku wanasherkea mpaka sherehe za chama tawala.....mtumishi wa balozi kavaa shati la ccm
 
Tusitegemee ufanisi kwenye balozi zetu,hizo nafasi zinatolewa kwa fadhila tu,ni kama huyu balozi mpya wa Zimbabwe,huku kavuruga ndio anapelekwa huko
 
balozi zetu si kwa ajili ya watz, hakuna mtz anaejua kazi zao, ukienda kubadili passport wanakwambia kama imeisha muda rudi home ukaprocess!, mtu akipata tatizo ukiripoti wanakwambia hatuna cha kusaidia pambaneni!
Kuna vibibi vimeajiriwa ubalozi hutuelewi kazi zao, kuna mabishoo kwenye mabalozi nyingi hawajui service hata moja for Tanzanians zaidi ya kukwambia chukua Mwewe "rudi home" ukasolve!
 
Back
Top Bottom