Tunasikitika ubalozi wetu wa Tanzania US unejaa wafanyakazi wasiojua wanachofanya. Ili watu waelewe hili nimewapa barua mbili hapa. Barua yenye kumbukumbu namba moja imetumwa kwenye miji miwili tofauti. Ukipiga simu wanasema Dallas eti hawaendi. Cha kushangaza vilevile pamoja na viongozi wa Dallas kuwepo kwenye list ya viongozi wa jumuia walipata barua kwenye mitandao.
Pamoja na kusema kwenye simu sasa kwamba hawaji Dallas kwenye website ya ubalozi wanasema watakuja Dallas kwenye Gallas hotelini. Baada ya viongozi kuona kwenye mitandao wakafikiri watanzania na balozi anakuja kushererekea sikukuu wa uhuru wa miaka 60 na Watanzania.
Cha ajabu baada ya viongozi kuhoji waliwaruhusu viongozi wanne tu kuwepo kwenye gala hii tarehe 3. Ingawa ubalozi huohuo sasa unasema hautaweza kuja tena kuwasaidia Watanzania kupata passport zao hapa Dallas,Texas. Cha kujiuliza ni nani anaenda kwenye gala? gharama ni za nani? kwanini sasa wanasema hawawezi kukutana na watanzania?
Hata kama ni wafanya bishara ni kwanini watanzania wasiambiwe wazi ili wahimize wafanyabiashara kuwepo kwenye huu mkutano na wameweka siri mpaka mwenyekiti wa jumuia apige simu. Cha ajabu kingine hawajui tofauti ya jimbo na mji!
Hii hapa watanzania wamepigwa stop hawaja alikwa kabisa! baada ya kelele nyingi wakaruhusu mwenyekiti na wengine wawili lakini eti ni sherehe za miaka 60!!
The Embassy of Tanzania in the USA would like to cordially invite you to the inaugural Tanzania-USA corporate GALA dinner in honor of the 60th Anniversary of independence for Tanzania mainland , as well as the 60th Anniversary of Diplomatic relations between Tanzania and the USA.
VENUE: OMNI DALLAS HOTEL , 555 S Lamar St. Dallas, Tx 75202
DATE: Friday, 3 December 2021.
For more Information please visit : Tanzania at 60 | Tanzania Imara, Kazi iendelee
Pamoja na kusema kwenye simu sasa kwamba hawaji Dallas kwenye website ya ubalozi wanasema watakuja Dallas kwenye Gallas hotelini. Baada ya viongozi kuona kwenye mitandao wakafikiri watanzania na balozi anakuja kushererekea sikukuu wa uhuru wa miaka 60 na Watanzania.
Cha ajabu baada ya viongozi kuhoji waliwaruhusu viongozi wanne tu kuwepo kwenye gala hii tarehe 3. Ingawa ubalozi huohuo sasa unasema hautaweza kuja tena kuwasaidia Watanzania kupata passport zao hapa Dallas,Texas. Cha kujiuliza ni nani anaenda kwenye gala? gharama ni za nani? kwanini sasa wanasema hawawezi kukutana na watanzania?
Hata kama ni wafanya bishara ni kwanini watanzania wasiambiwe wazi ili wahimize wafanyabiashara kuwepo kwenye huu mkutano na wameweka siri mpaka mwenyekiti wa jumuia apige simu. Cha ajabu kingine hawajui tofauti ya jimbo na mji!
Embassy of Tanzania in Washington D.C, USA
Embassy of the United Republic of Tanzania in Washington D.C, USA
www.us.tzembassy.go.tz
Hii hapa watanzania wamepigwa stop hawaja alikwa kabisa! baada ya kelele nyingi wakaruhusu mwenyekiti na wengine wawili lakini eti ni sherehe za miaka 60!!
The Embassy of Tanzania in the USA would like to cordially invite you to the inaugural Tanzania-USA corporate GALA dinner in honor of the 60th Anniversary of independence for Tanzania mainland , as well as the 60th Anniversary of Diplomatic relations between Tanzania and the USA.
VENUE: OMNI DALLAS HOTEL , 555 S Lamar St. Dallas, Tx 75202
DATE: Friday, 3 December 2021.
For more Information please visit : Tanzania at 60 | Tanzania Imara, Kazi iendelee