Rose Gabriella
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 603
- 573
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada watoto wanalipiwa na Rais Samia.Hongera Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa kati.
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada watoto wanalipiwa na Rais Samia.Hongera Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa kati.
mhhhAlidondokea PUAAAAA🤣🤣🤣🤣
Huyu akija kuajiriwa atafitinisha staff wote kwa BOSS.
Vijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Samia afanye mambo makubwa.Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada watoto wanalipiwa na Rais Samia.
Mama Samia anafanya yaliyowashinda viongozi wengi sana wa Africa.Vijana kama sisi ndio wazalendo Tumpe muda Rais Samia afanye mambo makubwa.
Asante sana Rais Samia kwa kuwapenda watanzania, Mungu akupe afya njema daima.Mama Samia anafanya yaliyowashinda viongozi wengi sana wa Africa.
Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake.Asante sana Rais Samia kwa kuwapenda watanzania, Mungu akupe afya njema daima.
Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake.
Umejdili vizuri ila una chuki.Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake.
Rais Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.
Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.Rais Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.
Usimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakazi.Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.
Samia Mungu azidi kukulinda Rais wetu.Usimfananishe Rais Samia na watu wa hovyo hovyo aisee. Huyu mama ni mchapakazi.
Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania.Samia Mungu azidi kukulinda Rais wetu.
Mwambie Rais Samia akaze hapo hapo na usigeuke nyuma kwa maana watanzania wengi hawajui wanataka nini.Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania.
Kufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanza.Mwambie Rais Samia akaze hapo hapo na usigeuke nyuma kwa maana watanzania wengi hawajui wanataka nini.
Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia.Kufikia October Rais Samia na JPM walifikia 98% ya ushindi wao hata kabla ya upigaji wa kura kuanza.
Mbona chadema kama vile wanapanic? Ina maana hawapendi maendeleo anayoleta Rais Samia?Viongozi wa bara la Ulaya na Asia kama vile Waziri mkuu wa India Narendra anamkubali sana Rais Samia.
Unapenda siasa?Mbona chadema kama vile wanapanic? Ina maana hawapendi maendeleo anayoleta Rais Samia?
Rushwa ipi, acheni uchawa!Rais Samia amekomesha rushwa na ufisadi. Hakika huyu mama ni shujaa wa Tanzania.