Ubalozi wa TANZANIA inchini UJERUMANI

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,592
29,721
Nimepitia ktk website yao ktk kipengele cha utalii ambapo nimekuta hii information hapo chini
The Land of Kilimanjaro & Zanzibar Print

Tourist's sites in Tanzania are indeed God sent gifts. Visitors to Tanzania do not only encounter the overwhelming force of nature but also enjoy a serene contact with it.

zebra.jpgThey observe it and feel it at work in almost all the national parks and game reserves. Mountain climbers can also have a field training trying to reach the top of the highest mountain in Africa. For beach lovers, the palms on the sandy beaches of marking the western shores of the Indian Ocean do offer the peace and comfort for relaxation, while the Indian Ocean offers all sorts of opportunities ranging from swimming, angling, sailing and other water sports, as well as the opportunity to view its treasures, the colourful living and non-living resources. All this can be enjoyed in welcoming atmosphere of the friendly and hospitable Tanzanians.

Tanzania is proud to be the exclusive home of:

1. THE KILIMANJARO: This is a snow-capped mountain, just south of the Equator. At 5895 meters above sea level, the Kilimanjaro is the highest mountain in Africa and the tallest free standing in the world.
2. THE SERENGETI: The Serengeti is a national park with millions of wild life living together. It is indeed a garden of nature. The nature of this national park provoked a remark from the famous Prof. Grzimek that "Serengeti shall never die".
3. THE NGORONGORO CRATER: This is a World Heritage Site within the Ngorongoro Conservation Area. The Crater is the home of several species of wildlife. The famous Prof. Grzimek once observed that it was not possible to give a "fair description of the crater for, there is nothing with which to compare it". He concluded that the crater is one of the world wonders.
4. THE OLDUVAI GORGE: This is a place where remains of the earliest human, the Nutcracker (Zinjathropus Boisei) were found by the Leakeys.
5. THE SEALDUS GAME RESERVE: This game reserve is the largest in Africa and one of the largest in the world.
6. ZANZIBAR: This is the spice island with abundant history, beautiful and white sandy beaches.

Tanzania is partly the owner of the following:

1. LAKE VICTORIA: The largest lake in Africa and the second largest fresh water lake in the world. It is the source of the River Nile. 66% of the lake lies within Tanzanian territory.
2. LAKE TANGANYIKA: The longest fresh water lake in the world and the second deepest. 41% of the lake lies within Tanzanian territory.
3. LAKE NYASA: Lake Nyasa located in the Great Rift Valley lies between Malawi on the west and Tanzania and Mozambique on the east. It is about 500 km (about 310 mi) long and an average of about 48 km (about 30 mi) wide. An outlet of Lake Nyasa flows into the Zambezi River.
Source: http://tanzania-gov.de/content/view/20/15/
Je embassy zetu zote zinatangaza utalii wetu? au ni kwenye website tu au kuna mbinu anuai zingine kutolea mfano wa ubalozi wetu pale London?
Wadau mlioko konambalimbali tupeni infos ili tujue kama kweli wakenya wanatupiga bao kwa ugoigoi wetu au basi tu
 
Nimepitia ktk website yao ktk kipengele cha utalii ambapo nimekuta hii information hapo chini

Je embassy zetu zote zinatangaza utalii wetu? au ni kwenye website tu au kuna mbinu anuai zingine kutolea mfano wa ubalozi wetu pale London?
Wadau mlioko konambalimbali tupeni infos ili tujue kama kweli wakenya wanatupiga bao kwa ugoigoi wetu au basi tu

Msanii, umenikumbusha, hivi karibuni nilipanda KLM, mle kwenye free magazine za mwenye madege wakenya wamejitangaza kama kurasa tano hivi, na wakachomekea kutangaza aliko zaliwa Obama, utalii hadi kilimanjaro wameiweka humo, yaani niliwaonea wivu mtakatifu, nikabaki tu kujiuliza hivi wabongo tumerogwa na nani? hatuwezi hata kudesa ya wenzetu tunayo ona yana faa kwa mustakabli wa taifa letu? yaani tunabakia kuwa wachumia tumbo tu bila kuangalia mbele yetu kuna ninini?

Tulivo fika amstadam tukisubilia kuunganisha ndege, nikasikia watasha wakiambizana walikuwa Kenya na kwamba wamespend 4 weeks na wakisifia kwamba ni kuzuri na wakipeana story za hapa napale kuhusu waliyo yaona huko!

Pamoja na watani zetu kuchomana moto na kuuana kama sisimizi kwenye uchaguzi wao, watatupiga bao la kisigino hivi hvi nasisi tutaendelea kubaki pale pale kama kapeto!

Hivi kweli hatuna vichwa safi Tz vya kututoa tulipo? tufanyeje jama?
 
Ni Kweli wamejitaidi kutangaza ila kingereza walichotumia hakivutiii kwa msomaji
neno THE SEALDUS GAME RESERVE, linatakiwa liwe "Selous Game Reserve" jina hili liliitwa baada ya Sir Frederick Selous Mwingereza na mtunza mazingira!
 
Msanii, umenikumbusha, hivi karibuni nilipanda KLM, mle kwenye free magazine za mwenye madege wakenya wamejitangaza kama kurasa tano hivi, na wakachomekea kutangaza aliko zaliwa Obama, utalii hadi kilimanjaro wameiweka humo, yaani niliwaonea wivu mtakatifu, nikabaki tu kujiuliza hivi wabongo tumerogwa na nani? hatuwezi hata kudesa ya wenzetu tunayo ona yana faa kwa mustakabli wa taifa letu? yaani tunabakia kuwa wachumia tumbo tu bila kuangalia mbele yetu kuna ninini?

Tulivo fika amstadam tukisubilia kuunganisha ndege, nikasikia watasha wakiambizana walikuwa Kenya na kwamba wamespend 4 weeks na wakisifia kwamba ni kuzuri na wakipeana story za hapa napale kuhusu waliyo yaona huko!

Pamoja na watani zetu kuchomana moto na kuuana kama sisimizi kwenye uchaguzi wao, watatupiga bao la kisigino hivi hvi nasisi tutaendelea kubaki pale pale kama kapeto!

Hivi kweli hatuna vichwa safi Tz vya kututoa tulipo? tufanyeje jama?
mfumo mbovuuu uliopo umeweza pia kuwafanya hata wenye nia njema kuwa wabovuuu...

hiyo mzee ni marketing strategies zilizotulia tuu amabazo nakiri wakenya wametuzidiii...

wabongo kazi ipooooo...TTB nasikia hata kichefuchefu kuitajaaaa...niliumia sana roho kuangalia taarifa ambayo KQ na TTB wamelaunch marketing campaign ya kupromote utaliii kenya...very smart move
 
Ni Kweli wamejitaidi kutangaza ila kingereza walichotumia hakivutiii kwa msomaji
neno THE SEALDUS GAME RESERVE, linatakiwa liwe "Selous Game Reserve" jina hili liliitwa baada ya Sir Frederick Selous Mwingereza na mtunza mazingira!

..Hicho pia ndicho kilichonivutia kuimwaga hapa jamvini maana hiko kiingereza ni maimuna. Ila wamejaribu maana najua kama wangefuata utawala bora wange wasiliana na BAKITA wawatafsirie kisha wabandike ktk website.

Mimi nashauri wasaidiwe ktk hilo pia (ingawa tunawalipa mishahara kwa kodi zetu)
 
Msanii, umenikumbusha, hivi karibuni nilipanda KLM, mle kwenye free magazine za mwenye madege wakenya wamejitangaza kama kurasa tano hivi, na wakachomekea kutangaza aliko zaliwa Obama, utalii hadi kilimanjaro wameiweka humo, yaani niliwaonea wivu mtakatifu, nikabaki tu kujiuliza hivi wabongo tumerogwa na nani? hatuwezi hata kudesa ya wenzetu tunayo ona yana faa kwa mustakabli wa taifa letu? yaani tunabakia kuwa wachumia tumbo tu bila kuangalia mbele yetu kuna ninini?

Tulivo fika amstadam tukisubilia kuunganisha ndege, nikasikia watasha wakiambizana walikuwa Kenya na kwamba wamespend 4 weeks na wakisifia kwamba ni kuzuri na wakipeana story za hapa napale kuhusu waliyo yaona huko!

Pamoja na watani zetu kuchomana moto na kuuana kama sisimizi kwenye uchaguzi wao, watatupiga bao la kisigino hivi hvi nasisi tutaendelea kubaki pale pale kama kapeto!

Hivi kweli hatuna vichwa safi Tz vya kututoa tulipo? tufanyeje jama?

Miaka ya hivi karibuni Tanzania imejitahidi kutangaza vivutio vya utalii ukilinganisha na miaka ya nyuma.Watalii wasiojua kwamba mlima Kilimanjaro uko Tanzania na si Kenya wamependa wenyewe kutojua.
Bodi ya utalii kwakushirikiana na balozi zetu waongeze juhudi zaidi kuhakikisha huu upuuzi wa nchi ya Kenya kuendelea kudanganya wageni vivutio wasikuwanavyo unadhibitiwa mara moja.
 
Miaka ya hivi karibuni Tanzania imejitahidi kutangaza vivutio vya utalii ukilinganisha na miaka ya nyuma.Watalii wasiojua kwamba mlima Kilimanjaro uko Tanzania na si Kenya wamependa wenyewe kutojua.
Bodi ya utalii kwakushirikiana na balozi zetu waongeze juhudi zaidi kuhakikisha huu upuuzi wa nchi ya Kenya kuendelea kudanganya wageni vivutio wasikuwanavyo unadhibitiwa mara moja.

Yeah ni kweli! wanajitahidi these days kuitangaza Tanzania. Nimepita kwenye balozi mbili tatu Europe, nimeona jinsi wanavyojituma kututangaza. Kuna balozi moja wameweka mpaka TV screen kuubwa reception kwa ajili ya matangazo ya kitalii. Ila juhudi zaidi zinahitajika coz tulipo sasa BADO SANA!
 
Yeah ni kweli! wanajitahidi these days kuitangaza Tanzania. Nimepita kwenye balozi mbili tatu Europe, nimeona jinsi wanavyojituma kututangaza. Kuna balozi moja wameweka mpaka TV screen kuubwa reception kwa ajili ya matangazo ya kitalii. Ila juhudi zaidi zinahitajika coz tulipo sasa BADO SANA!

Juzi juzi nilikuwa Disney land kupeleka familia yangu, nilichokutana nacho huko ni.....matangazo yahusuyo Kenya ni mengi mno, nilipoenda kwenye mbuga ndio kabisaa....kila kitu Kenya........nilipoingia dukani nilipata shida sana kuwa-convince jamaa (wauzaji) kuwa Mlima Kilimanjaro uko Tanzania.......confidently walikuwa wakiwaambia watu kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya!!....well finally nilifanikiwa kuwa-convince.....very easily.....just "Google Earth na ku-point out the Mt kilimanjaro".......na wakakubali na hata waliniomba contacts zangu ili niwatumie informations zaidi kuhusu utalii Tanzania........mwenye informations please naomba uziweke hapa ili na watu wazisambaze

Well, tutaendelea kupiga kelele wee.........hazitatusaidia.......inabidi tuamke kweli kweli (aggresiveness).........

Rwabu ndugu yangu hauko peke yako.......yaani inatia uchungu sana kuwa hatuko serious............

Lile tangazo linalotoka CNN inabidi wawe wanabadilisha badilisha sasa na watume pia clip nyingine
 
Tatizo TTB na serikali wanataka vitu kwa bei rahisi na kwa njia fupi. Nilitengeneza DEMO ya tangazo la Tanzania liko kwenye jukwaa la burudani.
 
Back
Top Bottom