Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Kama wengi tunavyojua, mlipuko wa ugonjwa wa coronavirus umeuweka uchaguzi wa Marekani wa mwaka 2020 katika mazingira magumu sana. Ugumu huo unatokana na kauli za mara kwa mara za Bwana Trump za kuonesha kukosa utayari wa kukubali matokeo ya kushindwa uchaguzi.
Bwana Trump na wafuasi wake wanaamini kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa rigged in favor of Bwana Biden. Imani hiyo inatokana na hatua ya baadhi ya states kuufanya utaratibu wa kupiga kura kwa njia ya posta kuwa default method. Kwa mujibu wa Bwana Trump na wafuasi wake, utaratibu wa kupiga kura kwa njia ya posta umesheheni udanganyifu mkubwa sana, ambao unamnufaisha zaidi Bwana Biden
Bwana Trump tayari ameshapanga safu ya mapambano. Kuna kila dalili kwamba uchaguzi wa mwaka huu utakuwa an amplified replay ya uchaguzi wa mwaka 2000 uliowahusisha Bwana Gore na Bwana Bush, Jr.
Ingawa uchaguzi wa mwaka 2000 ulikuwa na mvutano kwenye state moja tu, bado uliweza kuutia doa mfumo wa demokrasia ya magharibi. Mvutano katika uchaguzi wa mwaka huu utahusisha several states na unaweza kufanya damage kubwa zaidi kwa reputation ya Marekani na mfumo mzima wa demokrasia ya magharibi.
Ubalozi wa Marekani, wekeni akiba ya maneno. Mkijifanya mnajua sana kunyoshea vidole mataifa mengine, mtaumbuka muda sio mrefu. Fainali za ligi zenu zinachezwa leo November 3, 2020. Kwa hali ilivyo, ni vigumu kuamini kwamba mtamaliza hii ngoma bila doa kubwa. Rais wenu anafahamika vizuri sana kwa narcissism yake. Hakuna maslahi ambayo ni makubwa kuliko maslahi yake mwenyewe. Hata maslahi ya Marekani sio makubwa kuliko maslahi yake. Kwa hiyo, jiandaeni kisaikolojia kwa yatakayojiri!
Bwana Trump na wafuasi wake wanaamini kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa rigged in favor of Bwana Biden. Imani hiyo inatokana na hatua ya baadhi ya states kuufanya utaratibu wa kupiga kura kwa njia ya posta kuwa default method. Kwa mujibu wa Bwana Trump na wafuasi wake, utaratibu wa kupiga kura kwa njia ya posta umesheheni udanganyifu mkubwa sana, ambao unamnufaisha zaidi Bwana Biden
Bwana Trump tayari ameshapanga safu ya mapambano. Kuna kila dalili kwamba uchaguzi wa mwaka huu utakuwa an amplified replay ya uchaguzi wa mwaka 2000 uliowahusisha Bwana Gore na Bwana Bush, Jr.
Ingawa uchaguzi wa mwaka 2000 ulikuwa na mvutano kwenye state moja tu, bado uliweza kuutia doa mfumo wa demokrasia ya magharibi. Mvutano katika uchaguzi wa mwaka huu utahusisha several states na unaweza kufanya damage kubwa zaidi kwa reputation ya Marekani na mfumo mzima wa demokrasia ya magharibi.
Ubalozi wa Marekani, wekeni akiba ya maneno. Mkijifanya mnajua sana kunyoshea vidole mataifa mengine, mtaumbuka muda sio mrefu. Fainali za ligi zenu zinachezwa leo November 3, 2020. Kwa hali ilivyo, ni vigumu kuamini kwamba mtamaliza hii ngoma bila doa kubwa. Rais wenu anafahamika vizuri sana kwa narcissism yake. Hakuna maslahi ambayo ni makubwa kuliko maslahi yake mwenyewe. Hata maslahi ya Marekani sio makubwa kuliko maslahi yake. Kwa hiyo, jiandaeni kisaikolojia kwa yatakayojiri!