ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Mungu tuhurumie.Mmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Mungu tuhurumie.Mmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Privacy mpaka kifoBasi weka kabisa na death certificate tuone chanzo cha kifo maana kuna watu hamna ustaarabu kabisa na privacy za watu.
Hahahaa unajitekenya au ume quote maneno ya Palamagamba??Safari hii balozi wao yule mjapani ataletwa na pingu mikononi
Acha hizo, usjitie hamnazo, maelekezo sasa hivi hospitalini hata kama una covid-19 itaandikwa umekufa kwa kisukari au pressure...endeleeni kuwadanganya wadanganyika!Basi weka kabisa na death certificate tuone chanzo cha kifo maana kuna watu hamna ustaarabu kabisa na privacy za watu.
Thubutu!!Safari hii balozi wao yule mjapani ataletwa na pingu mikononi
40% ya wamarekani weupe hawana ajira
Endeleeni kuwalamba viatu hao wauaji
Aisee jana tumeambiwa kuwa tuna wagonjwa chini ya 10 tuMmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Mkuu tunaomba basi wewe mwenye ukweli utupashe plsHuna hata aibu kwa kuzusha uwongo ?
Hii corona ya ubalozi wa marekani isipotibiwa itakuwa tatizo,Mimi kila Mara nasafiri kwenye daladala ,na kati ya watu waliokatika risk ya kupata maambukizi ni makondakta na madereva wa daladala na mabasi ,chakushangaza ukipanda gari mwezi huu na mwezi ujao utakutana na dereva na kondakta yuleyule,hii inamaanisha kuwa korona haipo
Sasa hawa wamarekani wwnaolazimisha uwepo wa korona wanatutaka nini,serikali iwamulike hawa fedhuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapambane na yaliyopo kwao!
Ulichoandika ndio unahalalisha mtu kupost picha za watu kwa lengo la kuonyesha kuwa ni wahanga wa Covid 19 bila uhakika na kuheshimu privacy yao?!Acha hizo, usjitie hamnazo, maelekezo sasa hivi hospitalini hata kama una covid-19 itaandikwa umekufa kwa kisukari au pressure...endeleeni kuwadanganya wadanganyika!
Weka cheti cha kifo ili uthibitishe.Mmiliki wa Marangu Coach huyo kavuta jana usiku,mkewe bado yupo kwenye Ventilator hapo hapo Aghakan.View attachment 1466768
Safari hii balozi wao yule mjapani ataletwa na pingu mikononi
Wapambane na Maandamano Yao kwanzaWamekuja tena na tuhuma. Muwaite tena.
Wanawatuhumu kuficha takwimu tangia April 29 mwaka huu. Hawawezi kutoa hatima ya raia wake kwa kuwa hamueleweki.
View attachment 1466746
Pale Aghakan leo pametoa maiti moja ya mtu mashuhuri ya COVID 19. Nyie endeleeni kudanganyana.
Pia sisi ndiyo tunaowapa mikopo na misaada ya fedha kupitia TAAID au TMCC40% ya wamarekani weupe hawana ajira
Endeleeni kuwalamba viatu hao wauaji