Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Balozi wa Marekani nchini Alfonso akiwa kwenye picha ya pamoja na Israeli Makongo wa tatu toka kulia waliosimama mstari wa mbele tarehe 10 walipokuwa ubalozi wa Marekani mafunzo ya FFU na kikozi kizima kufundwa utendaji kazi uweje katika matukio ya dharura.
- Je, wamefunzwa kutesa wananchi au kuokoa wananchi?
- Je, wamefunzwa kuua wananchi au kulinda uhai wa wananchi?
- Je, wamefunzwa maana na nafasi ya matumizi ya silaha za kujihamu inapotokea dharura?