Aminmabalaa ya Kenya yamehamia tz Mungu atunusuru.
Wanammulika yeye sioWanajua nyie mna nongwa, Sasa mjikusanye Lissu akutane na alshaabab asingizie serikali
Labda ni lile tishio la MusibaSasa Chadema mkiambiwa msikusanye watu mpaka tishio liishe, mtasema mnaonewa, aliyesema ndio moja ya watu wenu. Na mtu wenu akiambiwa asifanye mkutano wa hadhara analia, akiachiwa akadhurika, anaililia serikali
Kumbe tishio ni la siku moja? Mi nilifikiri hiyo ni release dateMpaka muda huu saa 2 kasoro usiku shwari
Kumbe hata kingereza hujuiSasa Chadema mkiambiwa msikusanye watu mpaka tishio liishe, mtasema mnaonewa, aliyesema ndio moja ya watu wenu. Na mtu wenu akiambiwa asifanye mkutano wa hadhara analia, akiachiwa akadhurika, anaililia serikaliView attachment 2495531
Ubalozi wa Marekani unasema tuwe makini na mashambulio ya kigaidi, hayo makundi ya kigaidi yanaweza kushambulia kwa kutoa onyo dogo au wasitoe kabisa, wanadai kuna dalili Dsm au maeneo mengine ya Tanzania yakashambuliwa na magaidi, maeneo hayo yanayoweza kushambuliwa ni kama hoteli, balozi, migahawa na masoko.Jmn mnaojua kingereza tutafsirien kuna hali ya hatari au!! naona neno terrorist hapo!
Hakuna kitu ile ilikuwa watu wao wakae mbali na maandamano. Saa6 itavuka kukiwa shwariKumbe tishio ni la siku moja? Mi nilifikiri hiyo ni release date
Mzungu kaandika hapo kasema tishio ji kwa maeneo yanayotembelewa zaidi na wamagharibi (wazungu)....."areas frequented by westerners". Siyo maeneo ya Mwembeyanga na Kwamtogole ambako waswahili wamejaa.Sasa Chadema mkiambiwa msikusanye watu mpaka tishio liishe