Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

Sijawekwa kwenye bajeti ya Kenya. Mimi ni raia wa Tanzania.
Kama ni raia wa Tanzania basi heshimu taratibu, miongozo, na maelekezo yatolewayo na serikali ya Tanzania. Tanzania kwa sasa hatuhitaji chanjo!! Kwa sababu hakuna uhakika kama hii chanjo ni salama na inakinga mtu kwa muda mrefu kiasi gani. Ikizingatiwa kuwa virusi vipya vya Corona vinapatikana Mara kuwa Mara kutokana na corona kujibadilisha (it mutates)!
 
Kama ni raia wa Tanzania basi heshimu taratibu, miongozo, na maelekezo yatolewayo na serikali ya Tanzania. Tanzania kwa sasa hatuhitaji chanjo!! Kwa sababu hakuna uhakika kama hii chanjo ni salama na inakinga mtu kwa muda mrefu kiasi gani. Ikizingatiwa kuwa virusi vipya vya Corona vinapatikana Mara kuwa Mara kutokana na corona kujibadilisha (it mutates)!
Sawa Nyanda na mteuliwa wa mkuu.
 
Kama ni raia wa Tanzania basi heshimu taratibu, miongozo, na maelekezo yatolewayo na serikali ya Tanzania. Tanzania kwa sasa hatuhitaji chanjo!! Kwa sababu hakuna uhakika kama hii chanjo ni salama na inakinga mtu kwa muda mrefu kiasi gani. Ikizingatiwa kuwa virusi vipya vya Corona vinapatikana Mara kuwa Mara kutokana na corona kujibadilisha (it mutates)!
Acha uboya nikichanjwa mimi nikafa wewe utapata hasara gani?
 
Nenda ulaya na familia yako ukachanjwe, au beba ukoo mzima . SISI Kwetu Chnanjo NO....................
Nani ana kulazimisha si muache iwe hiari kama ilivyo kwenye malimao yenu na tangawizi lakini watu wakiungua wana kimbilia mitungi ya gesi badala ya kujifukiza.
 
Kama ni raia wa Tanzania basi heshimu taratibu, miongozo, na maelekezo yatolewayo na serikali ya Tanzania. Tanzania kwa sasa hatuhitaji chanjo!! Kwa sababu hakuna uhakika kama hii chanjo ni salama na inakinga mtu kwa muda mrefu kiasi gani. Ikizingatiwa kuwa virusi vipya vya Corona vinapatikana Mara kuwa Mara kutokana na corona kujibadilisha (it mutates)!
semeni hamna hela kwisha,kwani ni mara ya kwanza kupokea chanjo hapa nchini? mliwahi kufanya utafiti wa kuthibitisha hizo chanjo zote hapo kabla? wapi na lini? ndio kusema mwaka huu ndio mmekuwa makiini kuliko wakati wowote toka tupate uhuru? tupeni chonjo hili sio ombi ni haki yetu.
 
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.

Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has been untouched. In my own country, the United States of America, we have lost over 500,000 of our fellow citizens. To further complicate things, new variants of the virus have caused another more intense wave of infections across the world, including the African continent. It has become clear that the virus variant has arrived in Tanzania, also. I’ve been encouraged by recent statements from the Ministry of Health acknowledging COVID-19 as a public health priority in Tanzania and urging citizens to take basic precautions: such as avoiding crowds, wearing masks, and social distancing. This is good advice and I urge everyone to follow it.

In addition to implementing basic precautions to prevent the spread of COVID-19, there are at least two other important tools that are critical to controlling this pandemic.

First, in order to know if response measures are having the intended impact, it is critical to collect and report information about testing and cases. That’s why it is so important for all governments to share accurate and timely information about the number of cases in their countries to the World Health Organization. Sharing this information reassures citizens that their governments are fighting to protect their health and their livelihoods. Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths – both nationally and regionally.

The second tool is vaccines. As our new Secretary of State Tony Blinken stated, “Until everyone in the world is vaccinated, then no-one is really fully safe.” Vaccines have helped eradicate some of the worst diseases on earth, and there is no doubt that a mass immunization campaign will save lives. Just look at the numbers in the US; in the past couple of weeks, as millions of vaccinations have been given, the numbers of new Covid-19 cases, hospitalizations, and deaths have started to fall. I urge the Government of Tanzania to convene its health experts and review the evidence on vaccines.

As the world’s largest health and humanitarian donor, the United States continues to lead the global response to the Covid-19 pandemic, contributing more than $1.5 billion to COVID-19 mitigation efforts worldwide and pledging $4 billion to speed global distribution of vaccines. Here in Tanzania, we dedicated $16.4 million to mitigate the COVID-19 pandemic since the first confirmed case was diagnosed in March of 2020. The United States stands ready to ramp up our efforts and we are committed to working side by side with Tanzania to defeat Covid-19.

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures I’ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.

Asenteni sana
Upotoshaji mkubwa. Eti "Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe". Niliposoma kichwa hicho cha habari nilijaa hasira na kuanza kujiuliza huyo Balozi anajiona yeye ni nani kiasi cha kuweza KUIAGIZA Tanzania ifanye kitu fulani. Baada ya kuisoma taarifa yenyewe ya Balozi nikagundua kwamba Balozi wala 'hakuagiza' cho chote na sina tatizo kabisa na aliyoyasema. Mtoa mada, kwa kujaa jazba ya kuikosoa Serikali, anatafuta kwa udi na uvumba tamko lo lote linalounga mkono fikra zake ili kuzipa uzito hoja anazozitoa.

Aliyoyasema Balozi ni yafuatayo:

Paragraph 1: Napenda kuzungumzia korona na jinsi tunavyoweza kushirikiana kuzuia ueneaji wake ili sote tubakie salama.

Paragraph 2: Balozi anaanza kwa kutoa historia ya ugonjwa huo, hasa nchini kwake, na anamalizia kwa kusema kwamba ametiwa moyo na matamko ya hivi karibuni ya Wizara ya Afya ya Tanzania yakitambua korona kuwa ni suala la kipaumbele kiafya nchini na hatua za Wizara kuwaelekeza wananchi kuchukua tahadhari muafaka kama vile kuepuka misongamano, kuvaa barakoa na kutokaribiana. Balozi anaendelea kusema kwamba huo ni ushauri mzuri wa Wizara na anawahimiza watu wote wautii.

Paragraph 3: Balozi anasema kwamba mbali na tahadhari za kujikinga na ugonjwa huo, kuna vitu viwili muhimu katika kuzuia ugonjwa huo.

Paragraph 4: Kwanza, ili kujua kama juhudi zinazochukuliwa zinaleta matokeo yaliyotarajiwa, ni muhimu kukusanya na kutoa taarifa kuhusu wagonjwa na upimaji. Ndiyo maana ni muhimu kwa kila serikali ulimwenguni kulijuza Shirika la Afya Ulimwenguni idadi ya wagonjwa wake.

Paragraph 5: Nyenzo ya pili ni chanjo........Chanjo zimesaidia kuondosha baadhi ya magonjwa mabaya zaidi duniani...... Naihimiza serikali ya Tanzania kuitisha kongomano la wataalamu wake wa afya kuupitia upya ushuhuda wa chanjo.

Paragraph 6: .....Hapa Tanzania tulitenga Dola 16.4 milioni kupigana na korona tangu mgonjwa wa kwanza alipothibitishwa mwezi Machi 2020. Marekani iko tayari hata kuongeza zaidi ya juhudi hizo na tuko tayari kushirikiana na Tanzania kuushinda huu ugonjwa.

Paragraph7: Namaliza kwa maoni yangu binafsi. Mimi ni daktari ... niliyefanya kazi katika kitengo cha afya ya jamii kwa zaidi ya miaka 30 kabla ya kuteuliwa kuwa Balozi. Nathibitisha kwamba hayo niliyoyasema yanafanya kazi. Ninawaasa Watanzania wote kuunga mkono hatua hizo ili tujilinde sote kiafya na wale tuwapendao.

Nimechukua muda kutafsiri aliyoyasema Balozi kwa kuwa nilipandwa na gadhabu kusoma yanayosemwa yalitamkwa na Balozi. Kumbe ni uzushi tu wa mwandishi anayekuwa na ajenda zake. Hakuna AGIZO lo lote alilotoa Balozi.
 
I'd say the surest way of beating the virus is provided by nature itself. Survival of the fittest! That is the original means by which our ancestors survived ancient bugs -- a lot of viral sequences are integrated in our genomes -- neutralized or co-opted to our benefit.
So you mean the weak, poor, have nots, women and childre, they can go to hell!
 
Hiyo elimu nikuonyeshe wewe?
Najua hujui nilichoandika hapo!

Tangu siku ya kwanza nilipokusoma hapa JF upo vile vile, huonyeshi maendeleo yoyote, ndiyo ilikuwa hoja yangu.

Ngoja nikukumbushe. Unaukumbuka ule mjadala wa Marehemu Sokoine, tulianzia hapo..., hadi leo ni disappointment tupu!
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
Back
Top Bottom