Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

US na UK walivyo hamia Irak walishirikiana na Dunia na kuna mambo mengi tu , hata vita vya kibiashara na Russia , China na Nchi za Kiafrika , je wana act in a modern way au primitively
Kuna mambo ambayo ni lazima yashughulikiwe collectively. Mgogoro wa biashara kati ya China na US, na kati ya Ulaya na Russia, ni masuala binafsi ya mahusiano ya mataifa husika. Na athari zake, kimsinhi zitayagusa mataifa hayo kwa kiasi kikubwa. Na kuna sababu ambazo US walieleza wakiituhumu China kukiuka, na siyo mara ya kwanza.

Suala la Iraq, lilifuatia azimio la Umoja wa mataifa, japo halikuleta matokeo yaliyotarajiwa. Lakini ni kweli kuwa Sadam Hussein, kama alivyo Gadafi, hakuwa kiongozi mzuri, aliwaua wapinzani wake, alilipendelea kabila lake, aliwahi kuwaua watu wa kabila lisilo lake kwa kuwapulizia hewa ya sumu - aliua hata watoto ambao hawaelewi hata mambo ya siasa.
 
Mtazamo wako kwa wabongo ni wa kipumbavu. By the way Tanzania haijakataa chanjo, tukilazimika kutumia chanjo ni mpaka pale Wizara ya Afya ikijiridhisha kuwa hazina madhara.
Kitu kingine baadhi ya chanjo kuwa na madhara kwa watumiaji sio kitu kipya, kwa hiyo Watanzania kuwa na hofu ndo akili kubwa hiyo, hofu inatoa nafasi ya kupambanua faida au hasara/madhara ya chanjo.

Wasiwasi ndo akili
 
Tatizo mojawapo ni kufikiria kuwa huu ni ugonjwa wa kipindi kifupi.

Virusi vya mafua ambavyo ni jamii ya corona vimeendelea na maambukizi kwa watu miaka nenda rudi na hivi vipya vya uviko 19 itakuwa hivyo hivyo kama mkakati wa kinga wa kitaalamu usipotekelezwa.

Tofauti ni idadi kubwa ya maambukizi na vifo kwa upande wa uviko ukilinganisha na haya mafua ya kawaida.

Tusipokubali suluhisho la kitaalamu yaani chanjo, huu ugonjwa utaendelea kutesa hii nchi muda mrefu ujao.

Miaka kumi ijayo, wengi ambao wana kinga ya ujana leo watakuwa hatarini na baada ya hapo yatafuata marika ya chini.

Na bado kuna yumkini kuwa inaweza ibuka mutant variety itakayo ambukiza na kuleta kifo kwa mtu wa umri wowote.

Kwa ujumla mimi binafsi naona baadhi ya watanzania watu wazima tunachukulia huu ugonjwa kwa mtazamo wa umimi uliojaa ujinga mwingi ukichochewa na siasa za kijinga pia,bila kufikiria kuwa hatima ya nchi hapo mbeleni itabebwa na kizazi kichanga ambacho hakina maamuzi yoyote juu ya yanayotokea leo.

Nawasihi viongozi wetu wasiweke maisha ya watoto wetu rehani kwasababu tu wao wanaishi nyakati ambazo wengi wameaminishwa kuwa siasa ndiyo maisha.

Tatizo la kisayansi linahitaji suluhisho la kisayansi.

Uviko 19 ni ugonjwa unaosababishwa na virusi na suluhisho lake ni kinga ya kutumia chanjo na sio kukemea kama hizo ziitwazo pepo au kunywa dawa zisizothibitishwa.

Acheni sayansi ichuke nafasi yake kwa ajili ya hatima ya taifa letu na vizazi vijavyo.
 
Viongozi wa Tanzania, wanatakiwa kushirikiana na Dunia. Hata kama unasema una njia zako zinazotibu Covid 19, unatakiwa uishawishi Dunia, na Dunia ithibitishe.

We are acting primitively by not cooperating with globe community.
Says the Globalists
 
Rwanda na Malawi na uganda na Kenya kuna chanjo wahi mkuu...

TZ tutachanjwa mwisho baada ya kumaliza tests zao
Ingekuwa enzi ya JK Sasa hivi wote tungekuwa tumechanjwa chanjo ya COvid-19.

Na alivykuwa sharp tungekuwa Taifa la kwanza Afrika kuchanja. Bahati mbaya tuna "Mchunga ng'ombe'. Kuficha malazi na takwimu sahihi anaita uzalendo Wakati watu wanaangamia.
 
Hoja pumba kuliko...

Hawajawahi kutu colonize

Wanasingiziwa kuua watu Congo wakati wa King Leopold

Wazungu hawana nia hiyo kabisa
Ukiamini kuwa hao wanaotaka kushirikiana nawe wana njama za kukudhuru, eti kwa vile wewe ni tajiri sana, hapo patakuwepo na ushirikiano kweli?

Lakini la kushangaza ni kwa kiongozi, tena anayejitangaza msomi wa PhD, bado anakuwa na mawazo ya aina hii kwenye enzi hizi za sayansi na teknolojia!
Hivi teknology iliyopo sasa, wakitaka kumwondoa yeyote, hawa mabeberu watashindwa?

Na kwa nini wahangaike na kuwadhuru watu wengine wasiohusika, si watamtafuta tu mwenye kichwa ngumu na kumwondoshea mbali?
 
Inaelekea penda tusipende tutachanjwa tuu na takwimu za maambukizo tutazitoa hakuna jinsi. Wazungu wanaanza kuogopa virusi vya covid vinaweza ku mutate hapa tukapata variant ambayo ni kali zaidi na inakataa matibabu halafu ikasambaa dunia nzima. Pili, chanjo ni biashara ambayo makampuni ya dawa wanatafuta wateja kwa hiyo wata lobby serikali zao wasisitizie kila mtu achanjwe.
 
Viongozi wa Tanzania, wanatakiwa kushirikiana na Dunia. Hata kama unasema una njia zako zinazotibu Covid 19, unatakiwa uishawishi Dunia, na Dunia ithibitishe.

We are acting primitively by not cooperating with globe community.
Wanaingilia mamlaka yetu wao kama nani
 
Mnaficha nini ? au ni kweli kwamba mnaongoza kwa vifo africa ?

ili wajue biological weapon yao imefikia wap? its a shame the uS inataka kutoa advice while bado wapo kwenye battle na china kujua ukweli ni nani alitengeneza huo ugonjwa
 
Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe.

Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has been untouched. In my own country, the United States of America, we have lost over 500,000 of our fellow citizens. To further complicate things, new variants of the virus have caused another more intense wave of infections across the world, including the African continent. It has become clear that the virus variant has arrived in Tanzania, also. Iā€™ve been encouraged by recent statements from the Ministry of Health acknowledging COVID-19 as a public health priority in Tanzania and urging citizens to take basic precautions: such as avoiding crowds, wearing masks, and social distancing. This is good advice and I urge everyone to follow it.

In addition to implementing basic precautions to prevent the spread of COVID-19, there are at least two other important tools that are critical to controlling this pandemic.

First, in order to know if response measures are having the intended impact, it is critical to collect and report information about testing and cases. Thatā€™s why it is so important for all governments to share accurate and timely information about the number of cases in their countries to the World Health Organization. Sharing this information reassures citizens that their governments are fighting to protect their health and their livelihoods. Furthermore, such reporting allows researchers and scientists to better track the disease and prevent unnecessary deaths ā€“ both nationally and regionally.

The second tool is vaccines. As our new Secretary of State Tony Blinken stated, ā€œUntil everyone in the world is vaccinated, then no-one is really fully safe.ā€ Vaccines have helped eradicate some of the worst diseases on earth, and there is no doubt that a mass immunization campaign will save lives. Just look at the numbers in the US; in the past couple of weeks, as millions of vaccinations have been given, the numbers of new Covid-19 cases, hospitalizations, and deaths have started to fall. I urge the Government of Tanzania to convene its health experts and review the evidence on vaccines.

As the worldā€™s largest health and humanitarian donor, the United States continues to lead the global response to the Covid-19 pandemic, contributing more than $1.5 billion to COVID-19 mitigation efforts worldwide and pledging $4 billion to speed global distribution of vaccines. Here in Tanzania, we dedicated $16.4 million to mitigate the COVID-19 pandemic since the first confirmed case was diagnosed in March of 2020. The United States stands ready to ramp up our efforts and we are committed to working side by side with Tanzania to defeat Covid-19.

I will close this message on a personal note. I am a doctor by profession. Before being named Ambassador to Tanzania, I spent over 30 years working in the public health sector. I can promise you that the public health measures Iā€™ve been speaking about WORK. They will save lives if they are adopted. I urge all Tanzanians to join now in supporting these measures so that we can protect each other and the ones we love.

Asenteni sana
Aksante Balozi; with a piece of note that: None heeds to your superb advice.
 
USHUHUDA WA MKE WANGU KUPONA COVID 19 BAADA YA KUMUOMBEA KWA KUTUMIA MEDIUM YA NEW ANNOINTING WATER YA TB JOSHUA.

Leo 22:30hrs 20/01/2021

Bwana Yesu atukuzwe ndugu zangu,Namshukuru Mungu kwa sababu ya neema yake kuu juu yangu na Familia yangu,Jina langu ni Leslie Mbena,Mume na Baba wa watoto wawili,Mke wangu Elizabeth Benzege ni mjamzito tena wa mtoto wetu wa tatu,tukiwa katika mwezi huu wa mwisho kabla ya kujifungua,Mke wangu alianza kukohoa wiki moja iliyopita,wote tulifikiri ni kikohozi cha kawaida,hali ikaendelea kwa wiki nzima na ndipo alipoanza kukohoa hadi kuishiwa nguvu,tukaenda hospital wakampima mapafu na wakakuta tayari mapafu yake yameshaharibika na ndio inasababisha tatizo la upumuaji yaani Covid 19.

Nauweka Ushuhuda huu mtandaoni kama ulivyo ili uwasaidie watu waliokosa tumaini baada ya kuugua Covid 19,wajue kwamba lipo tumaini kwa Bwana Yesu kwa kila anayeamini na kuamua kumtii Mungu katika maisha yake yote.Tulilazwa katika wodi private floor ya tatu katika Hospital ya Bochi,nawashukuru manesi na madaktari kwa huduma yao nzuri pasipo unyanyapaa,kwani walitupokea wakamchoma sindano na dawa nyingi mchanganyiko sawa sawa na dalili zilizokuwa zinaonekana kwa mgonjwa,kila daktari aliyekuja alishika file la Mke Wangu akatoa ushauri,kuongeza au kupunguza dawa,ahsante kwa manesi ambao walipoona hali ya Mke wangu inazidi kuwa mbaya walileta maji ya moto na kumkanda mwili mzima,ahsante pia kwa wataalamu wa viungo waliotoa mazoezi kwa mgonjwa wakati wa oxygen hata baada ya kutolewa oxygen,hali ya upumuaji ilipozidi kuwa mbaya daktari alishauri mgonjwa awekewe oxygen,

Baada ya kulazwa tukauanza usiku ambao ulikuwa mbaya kwangu na kwa Mke wangu,mitungi miwili ya oxygen ikawekwa pembeni ya kitanda cha Mke wangu akawekewa oxygen puani,ikaletwa na mashine ambayo ilikuwa inasoma upumuaji katika mwili wa Mke Wangu,baadhi ya watu waliniambia kuna mawili mtu akiwekewa oxygen ni either apone au apumzike milele,hofu iliniingia,Mke Wangu ambae alikuwa bado anajitambua nae alianza kutoa machozi akiwa pale kitandani walipomuwekea oxygen,uwezo wetu wa kibinadamu uliishia hapo,na hapo uwezo wa Mungu kuingilia kati ndio ungemwokoa Mke Wangu,nilijua kabisa tayari roho wa umauti ameshaingia katika familia yangu,usiku wa kwanza ukapita,tukaamka siku ya pili.

Mashine ya kupima upumuaji katika mwili wa Mke Wangu ilikuwa inapanda na kushuka,wakati wote huo niliomba na kurudia ombi hilo hilo moja,Mungu mponye Mke Wangu,Mungu mponye Mke Wangu, ahsante kwa Mama yangu ambae alikesha akituombea,ahsante kwa Mama yangu mdogo,ndugu zangu wote,familia yangu yote na familia ya Mke wangu,jamaa na marafiki ambao wote walipiga simu kutuombea,usiku wa siku ya pili mashine ya kupima upumuaji ilishuka hadi 75,tukumbuke normal ya upumuaji kwa mwanadamu ni 90 hadi 100,mashine inaposhuka chini ya 80 alarm na taa nyekundu uanza kuwaka,manesi waliingia na kutoka na wakaja na dktari,wapo walioshauri tupewe referral kwenda hospital kubwa ya juu ya Mloganzika au Muhimbili,uko nilikataa maana tungeenda uko tungetelekezwa kwa sababu uko wagonjwa ni wengi,wakatuacha.

Siku ya tatu hali iliendelea kuwa mbaya,nikaanza kutafuta namba ya Emmanuel tv partners,niliwahi kusave kwenye simu yangu lakini sikuipata,nakumbuka wiki moja kabla hajaumwa Mke Wangu,nilimtuma aende posta,ghorofa la Benjamin Mkapa kuna ofisi ya Emmanuel tv partners akaombe New Annointing water wammiminie kwenye chupa ya maji,alikwenda kwa bahati mbaya alikuta wamehama,na wamehamia Kawe,hali ilivyozidi kuwa mbaya niligoogle prayer for viewers Tb Joshua ikaja sala ya Covid 19 Honduras,nikabonyeza na kuanza kuomba pamoja nayo,baadae akili ikanijia yupo Mwalimu wangu wa Masters pale Mzumbe University aliwahi kunipa Annointing Water,nikaanza kutafuta namba ya Dr Andrew Mushi (PhD) nikaipata nikamtumia sms, Daktari nina shida ya Annointing Water,Mke Wangu yupo kwenye critical condition due to Covid 19, Daktari alinipigia mara moja,nikajitambulisha, akaniambia yeye hana maana wamepewa watu wachache akaniahidi kuulizia,

Baadae Dr Mushi akanipigia akaniambia amepata kwa Mzee Bukozo ambae nae alipewa kidogo na Emmanuel tv partners, akaniambia niende kwake akanimiminie kidogo kwenye chupa ya maji safi ya Kilimanjaro,nikaenda hadi kwa Mzee Bukozo akanipokea akanihubiria, akaniambia nimweleze kidogo nilivyoijua Emmanuel tv na Tb Joshua,nilianza kueleza lakini nilimweleza Annointing water ilivyonisaidia hapo kabla hata sasa,kwa hakika nililia hadi sauti ikashindwa kutoka na Mzee Bukozo akaniambia nenda kaspray Annointing water ukimuombea,akaspray hewani akakemea,in the name of Jesus,you Covid 19 be washed away from this family,you spirit of death out in the name of Jesus, akaniambia nenda kijana,She is healed,nikasema Amen,huku nalia,kwa hakika ndugu msomaji kile kilio changu kilimaliza pale,na msiba wangu uliisha pale nilipoambiwa nenda kijana,She is healed in Jesus name.

She is healed in the Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth.
Amen,Soma mistari ifuatayo katika Biblia.

1. Walawi 19: 1 - 2,
2. 1Petro 1: 14 - 16,
3. Yohana 14: 15,
4. Yakobo 2: 10 - 11,
5. 1Yohana 3: 22 - 24,
6. 1Yohana 4: 7 - 8,
7. 1Yohana 5: 18 - 19,
8. Wagalatia 5: 19 - 21 & 22 - 25,
9. Wafilipi 1: 20 - 21,
10. Marko 11: 23 - 25,
11. Matendo 19: 11 - 12,

Kumbuka, muujiza ni siri ya Mungu, Naye siri hiyo huwaonesha marafiki zake ambao ni watakatifu wanaotembea!

Ukiyiishi mistari hiyo hapo juu, wewe ni mtakatifu!Endelea kuomba na pia hata yeye mwenyewe umhubirie Neno la Mungu ili asipoteze uponyaji wake!

Brethren,ilikuwa mchana wa saa saba nilipopewa New Annointing water nikaenda moja kwa moja hospital,nilimkuta mdogo wangu wa kike aitwae Juliana, nikamwambia tumwombee Mke Wangu,Nikamgusa mgongoni Mke Wangu akiwa na oxygen nikamwambia tuombe,Masikio yake yalisikia japo alikuwa amelala,Mungu tunakija mbele zako kuomba uponyaji wa Mke Wangu Elizabeth,kama ulivyomponya Ezekiah na kumuongezea miaka,mponye tena Mke Wangu na ukamwongezee Miaka ili aje kuishi kulitukuza na kulisifu jina lako,kama ulivyomponya Batimayo,kama ulivyomfufua Lazaro,Mponye tena Mke Wangu katika jina la Yesu kristo wa Nazareth,nikammwagia New Annointing water,nilivyomspray New Annointing water upumuajia wake ukarudi asilimia mia moja akiwa kwenye oxygen,kumbuka upumuaji wake ulikuwa chini ya 85,tunaendelea kuomba na tukamaliza,Uwepo wa Mungu ukawa mahali pale,matendo makuu ya Mungu yakaanza kuonekana toka saa tisa jioni wakapunguza oxygen wakasema akiendelea hivi kesho wataangalia ili waitoe,baada ya saa moja upumuajia wake ukarudi chini wakaongeza tena kiwango Cha oxygen,nikaweka sala ya Tb Joshua aliyokuwa anawaombea wagonjwa kule Honduras kwenye isolation centers,

Neema na rehema ikawa upande Wangu na Mke Wangu,Mke wangu akapata nguvu akaanza kuongea,tukapata kibali machoni pa Bwawa Yesu, Madaktari wawili wakaingia kwenye chumba chetu,Mke Wangu akawaambia mtoto toka juzi achezi, Daktari mmoja akaenda kufuata utra sound na kuileta chumbani na kumpima,tumepima utra sound tumekuta ni mzima ana wiki 34,kilo 2.4 na bado wiki 5 ajifungue,Mungu akamtuma daktari mwingine kuja kuniambia ili mapafu yaweze kuja kupush mtoto mwezi ujao akaniandikia dawa nyingine nikanunue ili mapafu yapone haraka,haya yote kwangu ni muujiza,maana kwa hali ilivyokuwa sikuwaza hata kufika mwezi ujao,kama Nabii Isaya alivyotumwa kwa Hezekiah akamwambie,Mungu amekuongezea Miaka ya kuishi,Hii ndio maana ya breakthrough.
Because of Christ i command the total healing of the lungs of Elizabeth in Jesus' Name. Amen,Nikaendelea kumwombea kwa kutumia the medium of New Anointing Water,ili apone leo leo,1Wathesalonike 5: 16 - 18.siku ya tano,Mungu akaendelea kuonekana,mlango wetu wa chumba ikaondolewa mitungi yote ya Oxygen ikapelekwa kwenye milango mingine,uwa mitungi ya oxygen inawekwa standby kwenye chumba cha mgonjwa wa Covid19 ili unapoisha anabadilishiwa mwingine kwa haraka,hata mashine kupima kiwango cha upumuaji ikaondolewa chumbani kwetu,kwa maana Mke Wangu sasa alianza kuwa imara,Jina la Bwana Yesu libarikiwe,mgonjwa anakaa sasa na ameanza hata kujibu sms za watu kwenye simu yake,

Ninakosa maneno ya kumshukuru Mungu, nakosa sadaka nzuri yakumtolea Mungu wangu naomba niwe chumvi na mwanga kwa Walimwengu,palipo na giza nikawe nuru,palipo na dhiki nikawe faraja,Kama Mungu alivyombariki Mtume Paulo, Apron of Paul,ambae kitambaa chake alipokiachia kwa watu kila aliyeshika alipona ugonjwa wake na kuponya maelfu,Mungu ukambariki Tb Joshua na neema uliyomjalia ya kuombea maji na kila ataemwagiwa maji hayo akapokea uponyaji kama Mimi na Mke Wangu tulivyopokea, Nimalizie kwa kusema Bwana Yesu anaponya kwa walio tayari,ukijua kwamba Mungu anaweza yote basi hudhuria mikutano ya injili na Semina za Neno la Mungu utapona,wafuate wachungaji katika kanisa ambalo Mungu anaishi (A living Church) watakuombea na utapona,hudhuria ibada kila mara katika kanisa la kiroho utaombewa na kupona,Yesu kristo anaokoa,ukiamini leo hakika unaokoka,Yesu Kristo anaponya,ukiamini leo hakika utapona.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Leslie Mbena,
Dar es Salaam.
Tanzania.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nmekuja na sampo spesi moja hapa naona itawafaa
 
ili wajue biological weapon yao imefikia wap? its a shame the uS inataka kutoa advice while bado wapo kwenye battle na china kujua ukweli ni nani alitengeneza huo ugonjwa
Umeni quote tu ili upate elfu 7 za chama , lakini kiukweli huna hoja
 
Back
Top Bottom