Ubalozi wa Marekani Nchini Mali watoa taadhari ya shambulio la kigaidi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Taarifa zinadai kuwa shambulio hilo linatarajiwa kutokea katika mji mkuu Bamako, na linalenga vituo muhimu vya Serikali na maeneo ya Umma

Tahadhari hiyo imekuja siku chache baada ya raia 22 kuuawa katika eneo la Menaka kaskazini mwa Mali na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo

Hii ni tahadhari ya tatu kutolewa na ubalozi wa Marekani nchini humo tangu Machi 2021.

...........................................................

The US embassy in Mali has issued an alert over a possible terrorist attack in the capital, Bamako, targeting key government facilities and public places.

This is the third alert issued by the US embassy in Mali since March 2021.

The latest advisory came days after 22 civilians were killed in Mali's northern Menaka region by suspected militants.

Malian media reported that armed men who staged the attack were affiliated to the Islamic State group.

Mali's military-led government heightened security in Bamako after militant killed six soldiers in the central Mopti region on 24 April.

The rising insecurity in northern Mali has been attributed to the withdrawal of French forces from the country.

SOURCE: BBC
 
Back
Top Bottom